Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 31,009
- 60,629
mi hiyo ya kumpiga mwanamke ndo kitu ambacho kinaniingia sana..
maisha bana halafu utaona huyo mwanake haondoki . saa nyingine
ndoa hazina faida kwakweli..
Ndoa zina faida bana, especially ukiolewa na RAIS. Hawezi kukupiga, atakua anakupet pet tu.