afrodenzi
Platinum Member
- Nov 1, 2010
- 18,150
- 9,255
Anakuchora kwa wino huyo.
I know
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Anakuchora kwa wino huyo.
Ntakujibu baadae watu wakishalala.
hahahahahahahahahahah lol
uwiiiii we Doto wewe ndo nini kunivunja
mbavu asubuhi hii loohh nimechekaa kweli ..
hatulali leo
periods.....
I gave you a 'Like' just for being your fabulous self!
mimi nadhani
kila mtu ana definition yake ya ndoa kutegemea na makuzi. Ndio yanayomjenga kuitathamini kwa kiasi gani
Ni kitu ufafunzwa na kuaminishwa tangu mdogo hadi unakuwa mtu mzima.
Sasa unapoolewa tabia ya mwenzi wako haitakufanya wewe ubadili mtizamo wako wa ndoa. Sikubaliani na kwamba mwenza kama ni cheater na mwenzie awe cheater kulipiza kisasi.
Ndiyo maana bila kujali mambo yangu binafsi, naseme mtu anayehisi hawezi kuacha kucheat, basi afanye hivyo responsively!
Za asubuhi kaka?
Kwa kusema "afanye hivyo responsively" una maana gani?
hahah comrade, nadhani mkuu DC alimaanisha responsibly, itakuwa typo tu
Za asubuhi kaka?
Kwa kusema "afanye hivyo responsively" una maana gani?
hahah comrade, nadhani mkuu DC alimaanisha responsibly, itakuwa typo tu
Hata mimi nadhani ni hivyo lakini nimeuliza kwa sababu hata jana kuna sehemu aliandika hivyo.
Imenikumbusha jamaa yangu aliyekuwa anajibu maswali ya DS (development studies) akaandika ERECTION badala ya ELECTION!!...
Kidogo Prof. apandishe mashetani...Lol!!
Itakuwa huyo Prof. Alikuwa na tatizo la ERECTION lazima lol
Mkuu DC pamoja saaana mkuu..
Hapa tunamsubiri Lizzy na Kongosho waje....sijui waaamke...whatever
Mi nimechoka na haya mambo. . . nachukua mapumziko ya muda.