Enzi izo kababaye akiii nmekumbuka mbali Mia mia zetu alizila sanaWakazi wa arusha hivi mnamkumbuka mwanamazingaumbwe aliekua anaitwa kababaye miaka ya nyuma?? Nakumbuka miaka ya nyuma alivuma sana mashuleni kiingilio ilikuaga mia mbili. akitaka kufanya mauza uza anasema kababaye mnaitikia yee, anasema mwanaume ndi mnaitikia ndii, mwanaume ndaa ...ndaaa . kwa anae mkumbuka atueleze yupo wapi skuhizi.
Alikuwa na wimbo wake...kababa kimunyi munyi...mnaitikia zembwelaa...kababa kimunyi munyi zembwelaaaWakazi wa arusha hivi mnamkumbuka mwanamazingaumbwe aliekua anaitwa kababaye miaka ya nyuma?
Nakumbuka miaka ya nyuma alivuma sana mashuleni kiingilio ilikuaga mia mbili.
Akitaka kufanya mauza uza anasema kababaye mnaitikia yee, anasema mwanaume ndi mnaitikia ndii, mwanaume ndaa, ndaaa.
Kwa anae mkumbuka atueleze yupo wapi sikuhizi.
Wakazi wa arusha hivi mnamkumbuka mwanamazingaumbwe aliekua anaitwa kababaye miaka ya nyuma?
Nakumbuka miaka ya nyuma alivuma sana mashuleni kiingilio ilikuaga mia mbili.
Akitaka kufanya mauza uza anasema kababaye mnaitikia yee, anasema mwanaume ndi mnaitikia ndii, mwanaume ndaa, ndaaa.
Kwa anae mkumbuka atueleze yupo wapi sikuhizi.