Kababu za nyama ya mbuzi

Kababu za nyama ya mbuzi

Nyendo

JF-Expert Member
Joined
Jun 4, 2017
Posts
1,336
Reaction score
4,731
Habari, leo tupike kidogo kababu za nyama ya mbuzi

MAHITAJI

• Nyama ya mbuzi nusu kilo

• Dania 1iliokatwakatwa

• Kitunguu saumu pamoja na tangawizi vijiko 2 vya chai

• Garam masala(dawa ya pilau ya unga)

• Vitunguu majivilivyokatwa katwa 2

• Vijiko 2 vya chai

• Pilipili mbichi 2 uliopondwa ukipenda muasho (sio lazima)

• Breadcrumbs nusu kikombe

• Kiazi 1 kikubwa kilichochemshwa

• Curry powder kijiko cha chai

• Mafuta ya uto ya kuukaangia lita 1

NAMNA YA KUTAYARISHA

• Weka nyama ya mbuzi ,kitunguu maji,kitunguu saumu dania ,curry powder na limau kamulia ndani na ubandike motoni ukoroge vizuri hadi ikauke na kuiva kiasi cha dakika 5 hivi

• Epua wacha ipoe…na baadae weka nyama yako kwa mixer usage ,unaweza kutumia kinu kuiponda iwapo huna mixer .

• Weka kwa bakuli na uongezee yale mayai 2 pamoja na breadcrumbs changanya vizuri hadi vichanganyike. Sasa teka mchanganyiko wako kidogo kwa mkono utengeneze shape utakayo unaweza kutengeneza shape ya round au ya oval .

• Bandika karai motoni mimina mafuta yakishapata moto anza kuchoma kababu zako huku ukigeuza upande wa pili hadi ziwe golden brown .

• Andaa mezani kwa limau au chatni na chai au kwa juice baridi uipendayo.


1573649907452.png
 

Attachments

  • 1573649204124.gif
    1573649204124.gif
    42 bytes · Views: 4
  • 1573649866841.gif
    1573649866841.gif
    42 bytes · Views: 3
Habari, leo tupike kidogo kababu za nyama ya mbuzi

MAHITAJI

• Nyama ya mbuzi nusu kilo

• Dania 1iliokatwakatwa

• Kitunguu saumu pamoja na tangawizi vijiko 2 vya chai

• Garam masala(dawa ya pilau ya unga)

• Vitunguu majivilivyokatwa katwa 2

• Vijiko 2 vya chai

• Pilipili mbichi 2 uliopondwa ukipenda muasho (sio lazima)

• Breadcrumbs nusu kikombe

• Kiazi 1 kikubwa kilichochemshwa

• Curry powder kijiko cha chai

• Mafuta ya uto ya kuukaangia lita 1

NAMNA YA KUTAYARISHA

• Weka nyama ya mbuzi ,kitunguu maji,kitunguu saumu dania ,curry powder na limau kamulia ndani na ubandike motoni ukoroge vizuri hadi ikauke na kuiva kiasi cha dakika 5 hivi

• Epua wacha ipoe…na baadae weka nyama yako kwa mixer usage ,unaweza kutumia kinu kuiponda iwapo huna mixer .

• Weka kwa bakuli na uongezee yale mayai 2 pamoja na breadcrumbs changanya vizuri hadi vichanganyike. Sasa teka mchanganyiko wako kidogo kwa mkono utengeneze shape utakayo unaweza kutengeneza shape ya round au ya oval .

• Bandika karai motoni mimina mafuta yakishapata moto anza kuchoma kababu zako huku ukigeuza upande wa pili hadi ziwe golden brown .

• Andaa mezani kwa limau au chatni na chai au kwa juice baridi uipendayo.


View attachment 1262184
👏
 
Habari, leo tupike kidogo kababu za nyama ya mbuzi

MAHITAJI

• Nyama ya mbuzi nusu kilo

• Dania 1iliokatwakatwa

• Kitunguu saumu pamoja na tangawizi vijiko 2 vya chai

• Garam masala(dawa ya pilau ya unga)

• Vitunguu majivilivyokatwa katwa 2

• Vijiko 2 vya chai

• Pilipili mbichi 2 uliopondwa ukipenda muasho (sio lazima)

• Breadcrumbs nusu kikombe

• Kiazi 1 kikubwa kilichochemshwa

• Curry powder kijiko cha chai

• Mafuta ya uto ya kuukaangia lita 1

NAMNA YA KUTAYARISHA

• Weka nyama ya mbuzi ,kitunguu maji,kitunguu saumu dania ,curry powder na limau kamulia ndani na ubandike motoni ukoroge vizuri hadi ikauke na kuiva kiasi cha dakika 5 hivi

• Epua wacha ipoe…na baadae weka nyama yako kwa mixer usage ,unaweza kutumia kinu kuiponda iwapo huna mixer .

• Weka kwa bakuli na uongezee yale mayai 2 pamoja na breadcrumbs changanya vizuri hadi vichanganyike. Sasa teka mchanganyiko wako kidogo kwa mkono utengeneze shape utakayo unaweza kutengeneza shape ya round au ya oval .

• Bandika karai motoni mimina mafuta yakishapata moto anza kuchoma kababu zako huku ukigeuza upande wa pili hadi ziwe golden brown .

• Andaa mezani kwa limau au chatni na chai au kwa juice baridi uipendayo.


View attachment 1262184

Mkuu kiazi umetumia wapi maana sijaona ulipo tumia kwenye maelekezo.


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom