Hata mimi nahitaji ndumba zao..Ukizipata ni PM mkuu nimechoka za kwetu ni mateso tuMkuu Usidhani Unavyosuguaga Makalio Yako Barabarani Njia Panda Ya Tazara Ili Upate Mafanikio Basi Ni Kila Mtu. Walichotushindia Wazungu Ni Only CREATIVITY Tu Na Kujua Unataka Nini Maishani Halafu Kukazana Ili Ufanikiwe Kwa Kujituma Sana. Ila Hata Hivyo Kama Wazungu Nao Ni Washirikina Basi Hata Mimi Nitahitaji Hizo Ndumba Zao Kuliko Hizi Zetu Za Kutoana Tu MISHIPA Na Kulazana Juu Ya DARI Kila Kukicha Utadhani Popo.
mkuu europe+usa hakuna huo uganga wenu.Huyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo
Umesikia wapi? Acheni uongo!Kwani huyu si ni chakula ????
Hapo ndo inapokuja tofauti ya mzungu na mwafrica, Mzungu especially alie makini consideration yake kubwa ni BRAIN mtu ambae watacopy together na kushare dreams kwa pamoja pia wanaconsider a HEART- how real you are. Urembo kwao ni extra reason.Huyo mke hata BUREEEE simtaki... si mrembo kabisaaaaa... ila wazungu ndivyo walivyo, hawajui kabisa kuchagua mke... mwanaume wa kizungu akishapigwa ORAL ya nguvu na kapewa tigo na mwanamake basi anatangaza NDOA.... hata awe kiziwi... maana huyu mke wa Mark mm hata BURE SIMTAKI... si mrembo hata kidogo.. Hivi mchina kweli anavutia kuoa..? OMG... Kweli kila mtu duniani ana bahati yake...
Vipi kwani mamyaisee basi sawa
Kuna kipindi nilisikia jamaa ni kaka poa a.k.a shooogView attachment 322079 View attachment 322080 View attachment 322081 View attachment 322082
Nilikuwa napita huku na huko katika mitandao,hatimaye nikakutana na maisha ya uvaaji wa nguo za mmiliki wa mtandao wa facebook MARK ZUCKEBERG.Huyu jamaa ametoa picha ya kabati la nguo zake,na kuelezea kuwa ndio kabati la nguo zake za kila siku azivaazo.
Mark anasema ili asipoteze akili nyingi kwa mkewe na kwake juu ya nini avae na ni nmana gani anatakiwa kuvaa,ameamua kuwa na nguo za aina moja katika kabati yake na kutoa "tender"(zabuni) kwa kampuni kumtengenezea aina hiyo ya nguo,pia ameamua kununua nyumba iliyo karibu kabisa na Makao Makuu ya Facebook ili asiwe anatumia usafiri wa aina yoyote zaidi ya kutembea toka nyumbani mpaka ofisini.
Ukifuatilia hata katika makongamano yake na mihadhara ya kitaaluma ktk vyuo na maeneo mbalimbali unaweza dhania kuwa Mark huwa habadilishi nguo,kumbe ana kabati lililojaa nguo za aina moja
Wee hujaona anaagiza kiwandani???Sasa Hizo Ela Zake Zinamfaidisha Nini.?
hakun watu bahil kam hwa wanawaz kushika no za utajir tuHuyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo
Tazama hizi picha, sija jua why alikuwa katika movements za mashoga.. Akawa ana march nao bila kujifichaSiyo kwamba ni haters tu wamemzushia hilo mkuu?
Mimi Buffet alinifurahisha tu na Jaguar lake la mwaka 1970 huko ndio favorite Car yakena Pengine kamuiga Mr.Warren Buffet.....Huyu mzee lifestyle yake ni ya kipekee sana..
akili za kiafrikaMasharti ya mganga lazima yazingatiwe