Kabati la nguo la Mmiliki wa Facebook

Kabati la nguo la Mmiliki wa Facebook

Hiyo ya tiny penis mambo ya kibamia teh teh teh teh😀😀😀😀
Kwenye mambo ya nguo katumwa huyu na mganga wake
 
Mkuu Usidhani Unavyosuguaga Makalio Yako Barabarani Njia Panda Ya Tazara Ili Upate Mafanikio Basi Ni Kila Mtu. Walichotushindia Wazungu Ni Only CREATIVITY Tu Na Kujua Unataka Nini Maishani Halafu Kukazana Ili Ufanikiwe Kwa Kujituma Sana. Ila Hata Hivyo Kama Wazungu Nao Ni Washirikina Basi Hata Mimi Nitahitaji Hizo Ndumba Zao Kuliko Hizi Zetu Za Kutoana Tu MISHIPA Na Kulazana Juu Ya DARI Kila Kukicha Utadhani Popo.
Hata mimi nahitaji ndumba zao..Ukizipata ni PM mkuu nimechoka za kwetu ni mateso tu
 
Huyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo
mkuu europe+usa hakuna huo uganga wenu.
 
Huyo mke hata BUREEEE simtaki... si mrembo kabisaaaaa... ila wazungu ndivyo walivyo, hawajui kabisa kuchagua mke... mwanaume wa kizungu akishapigwa ORAL ya nguvu na kapewa tigo na mwanamake basi anatangaza NDOA.... hata awe kiziwi... maana huyu mke wa Mark mm hata BURE SIMTAKI... si mrembo hata kidogo.. Hivi mchina kweli anavutia kuoa..? OMG... Kweli kila mtu duniani ana bahati yake...
 
Huyo mke hata BUREEEE simtaki... si mrembo kabisaaaaa... ila wazungu ndivyo walivyo, hawajui kabisa kuchagua mke... mwanaume wa kizungu akishapigwa ORAL ya nguvu na kapewa tigo na mwanamake basi anatangaza NDOA.... hata awe kiziwi... maana huyu mke wa Mark mm hata BURE SIMTAKI... si mrembo hata kidogo.. Hivi mchina kweli anavutia kuoa..? OMG... Kweli kila mtu duniani ana bahati yake...
Hapo ndo inapokuja tofauti ya mzungu na mwafrica, Mzungu especially alie makini consideration yake kubwa ni BRAIN mtu ambae watacopy together na kushare dreams kwa pamoja pia wanaconsider a HEART- how real you are. Urembo kwao ni extra reason.
 
Muangalie bilgates sasa anavyo vaa utashangaa
 
View attachment 322079 View attachment 322080 View attachment 322081 View attachment 322082


Nilikuwa napita huku na huko katika mitandao,hatimaye nikakutana na maisha ya uvaaji wa nguo za mmiliki wa mtandao wa facebook MARK ZUCKEBERG.Huyu jamaa ametoa picha ya kabati la nguo zake,na kuelezea kuwa ndio kabati la nguo zake za kila siku azivaazo.
Mark anasema ili asipoteze akili nyingi kwa mkewe na kwake juu ya nini avae na ni nmana gani anatakiwa kuvaa,ameamua kuwa na nguo za aina moja katika kabati yake na kutoa "tender"(zabuni) kwa kampuni kumtengenezea aina hiyo ya nguo,pia ameamua kununua nyumba iliyo karibu kabisa na Makao Makuu ya Facebook ili asiwe anatumia usafiri wa aina yoyote zaidi ya kutembea toka nyumbani mpaka ofisini.
Ukifuatilia hata katika makongamano yake na mihadhara ya kitaaluma ktk vyuo na maeneo mbalimbali unaweza dhania kuwa Mark huwa habadilishi nguo,kumbe ana kabati lililojaa nguo za aina moja
Kuna kipindi nilisikia jamaa ni kaka poa a.k.a shooog
 
Huyu mark mzembe tu mtu Ana pesa anashindwa nn kuajili mafashonista Hata wawili yy akutage nguo ziko tayar..
Mganga wake ndo namwambia avaage hivyo
hakun watu bahil kam hwa wanawaz kushika no za utajir tu
 
Masharti ya mganga lazima yazingatiwe
 
Siyo kwamba ni haters tu wamemzushia hilo mkuu?
Tazama hizi picha, sija jua why alikuwa katika movements za mashoga.. Akawa ana march nao bila kujificha
CUI2YViG5ADbsRPtMYIUiC7Q.jpg
bALWNTpMmRTdA7WssxVjZ1QB.jpg
 
na Pengine kamuiga Mr.Warren Buffet.....Huyu mzee lifestyle yake ni ya kipekee sana..
Mimi Buffet alinifurahisha tu na Jaguar lake la mwaka 1970 huko ndio favorite Car yake
 
Back
Top Bottom