Kwahyo Kwa mawazo yako biashara za huyu mark zinasimama sababu ya brain ya mkewe pia?hizo ni issue zinazotusumbua sisi wenye biashara au pesa za mawazo ambazo hata mke akiwa mtumiaji kidogo wa pesa zinatetereka ndio maana tunalazimika kuchagua wanawake wenye akili,chunguza pia matajiri wengi wetu wa huku waliooa Kwa kuzingatia akili ya mwnamke zaidi baada ya kuimalika kipesa wengi wao walitafuta michepuko au wake wa pili warembo,chunguza maisha ya mabilionea wengi waliooa wakiwa na pesa zao wake zao au mademu zao sio wenye akili,wengi wamechagua warembo bas inatosha,biashara kubwa kama za kina mark mke mara nyingi hausiki na namna zinavyoendeshwa Kuna watu wanafanya hyo kaz kumsaidia Tajiri husika,na kuhusu hisia zako kwamba sijaoa ur wrong nimeoa,