Kabati la Vioo la Nguo ama Urembo Linauzwa

Kabati la Vioo la Nguo ama Urembo Linauzwa

RaJhumoR

Member
Joined
Mar 1, 2021
Posts
20
Reaction score
29
Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu

Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa position nyumbani sasa ni watundu balaa na mm nahofia watavunja maana wao sasahivi wanashinda room kwangu, anyways less stories more business

Ninaliachia kwa 250k 🥲🥰 Hili ni multi purpose, unaweza tumia kama showcase ya minerals ( Special gemstones ), ama ukatumia kuwekea vitu vua biashara, or ukatumia nyumbani kama mimi, Vioo vyake ni vizima

Niko Tabata Sanene For more Inquiries, ease contact me through my whatsapp 0776 101007 or phone call me at 0672303307

Thank You na na karibu
 

Attachments

  • Screenshot_20250209_215414_Gallery.jpg
    Screenshot_20250209_215414_Gallery.jpg
    571.6 KB · Views: 4
  • Screenshot_20250209_215421_Gallery.jpg
    Screenshot_20250209_215421_Gallery.jpg
    1.2 MB · Views: 3
Ebhana watu wa JF nawasalimu kwa Heshima ya Jamhuri ya muungano wa Taifa letu

Nina biashara nahitaji kuuza hili kabati langu la vioo, Na nimelipenda sana ila dah kuna madogo wawili wamekuwa position nyumbani sasa ni watundu balaa na mm nahofia watavunja maana wao sasahivi wanashinda room kwangu, anyways less stories more business

Ninaliachia kwa 250k 🥲🥰 Hili ni multi purpose, unaweza tumia kama showcase ya minerals ( Special gemstones ), ama ukatumia kuwekea vitu vua biashara, or ukatumia nyumbani kama mimi, Vioo vyake ni vizima

Niko Tabata Sanene For more Inquiries, ease contact me through my whatsapp 0776 101007 or phone call me at 0672303307

Thank You na na karibu
Halionekani vizur au simu yangu
 
Back
Top Bottom