Sawa nitajaribu kufanya hivyoAiseee ni changamoto kwa nje ya dar.
Unaweza pia nitangazia kwa mtu wa Dar mwenye uhitaji nalo.
Hapana mkuu.
Offer yangu mwisho 210k.
Mkuu Hilo kabati sio la mbao wametumia material ya mdf n la kichina Kaka kabati km Hilo likigusa maji linatanuka(kuvimba) ....
Anyway .. ..Kuna 100k ukiwa tayar tufanye biashara