Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nina hamsini mkuu.Ni kabati ambayo unaweza kuhamisha kwa haraka pia ina uwezo wa kuhifadhi nguo nyingi.Hii ni maalum kwa wale wenye chumba kimoja kwa sababu haichukui nafasi kubwa.ukihitaj unaletewa popote ulipo na pia tuna tuna kwa wateja wa mikoani.Bei ni 75000
Contact 0717388265
![]()
Hapa kwenye mchoro liko vizuri.....ila ki uhalisia ukipanga vitu kama picha inavyoelekeza ni utadumu nalo kwa wiki kadhaa tu..Ni kabati ambayo unaweza kuhamisha kwa haraka pia ina uwezo wa kuhifadhi nguo nyingi.Hii ni maalum kwa wale wenye chumba kimoja kwa sababu haichukui nafasi kubwa.ukihitaj unaletewa popote ulipo na pia tuna tuna kwa wateja wa mikoani.Bei ni 75000
Contact 0717388265
![]()
Bado unazo hizi kabatiNi kabati ambayo unaweza kuhamisha kwa haraka pia ina uwezo wa kuhifadhi nguo nyingi.Hii ni maalum kwa wale wenye chumba kimoja kwa sababu haichukui nafasi kubwa.ukihitaj unaletewa popote ulipo na pia tuna tuna kwa wateja wa mikoani.Bei ni 75000
Contact 0717388265
![]()
Zipo tofauti
mkuu unaweza kuniletea hadi home?
Nikiwa fresh nitakucheki mkuu.
hahahaha hakuna kabati hapo hadi leo vyuma watoto wanachezea lilidumu mwezi mmoja tu.Sitarudia huu ujinga, 80k hadi leo inaniuma!
hahahaha hakuna kabati hapo hadi leo vyuma watoto wanachezea lilidumu mwezi mmoja tu.
jamaa yangu alijitahidi likakaa mwaka ila likaoza icho kitambaa chake.
hahahaha mie nilikuwa nikiweka mzigo naona unashuka nalo mara lipinde (bend) flan yaani balaa tupuCha ajabu sasa mi kabla sijanunua niliwahi kuliona kwa mshkaji anatumia, tena alidumu nalo tu na alikuwa akihama chumba anapangua na kulipanga upya fresh tu.
Kilichonikuta mimi, kwanza ile kuliseti sijui kama nilipatia... na mbaya zaidi ilikuwa chumba cha watoto yaani kila siku linaporomoka! [emoji23][emoji23][emoji23]
hahahaha mie nilikuwa nikiweka mzigo naona unashuka nalo mara lipinde (bend) flan yaani balaa tupu
hakuna kabati hapo mkuu maana linaoza pia (nguo yake ni kama hivi vifungashio vya sasa)Kwenye picha linavutia kweli kweli, huenda yapo tofauti na wapo waliyoyapatia.... ila wengi ni ile ukipiwa mara moja hurudii tena.