Kabendera: Kulikuwa na majaribio mawili ya kuniua kabla ya kunikamata

Kabendera: Kulikuwa na majaribio mawili ya kuniua kabla ya kunikamata

Analogia Malenga

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2012
Posts
5,108
Reaction score
10,191

Erick Kabendera, Muandishi ambaye aliakamatwa kwa tuhuma za uhujumu uchumi na kujihusisha na genge la uhalifu ambapo aliachiwa Februari 24, 2020 baada ya kukaa mahabusu kwa miezi saba

Akizungumza na BBC Swahili, Erick amesema aliponyeka majaribio mawili ya kuuawa ambapo moja lilifanyika nyumbani kwake. Walipomkosa walitupa sumu ilioishia kuwaua mbwa wake

Mwanahabari Erick Kabendera alikiri mashtaka aliyotuhumiwa na kuomba msamaha Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) aliridhia na alipoachiwa alitakiwa kulipa fidia ya Tsh. Milioni 172
 
Meko ni shetani sana. Daah!

Yaani huyu kafa kwa sababu ya albadiri na ukatili.

Kigogo anasema meko alimuua ben saanane kwa kumpiga shaba meko alikuwa ibilisi sana naona mama naye anaffuata nyayo, na sishangai kabisa its expected
 
Meko ni shetani sana.. daah.

yaani huyu kafa kwa sababu ya albadiri na ukatili.


kigogo anasema meko alimuua ben saanane kwa kumpiga shaba ..meko alikuwa ibilisi sana .. naona mama naye anaffuata nyayo, na sishangai kabisa its expected
Maza kaufata ukatili nchi jirani,kaanza kutusomesha kwenye makato na tozo.
 
Inatakiwa akajichek afya wasije wakawa walimuwekea sumu ya kuuwa taratibu.

Kuwakwepa wasiojulikana ukiwa jela usikubali kula chakula cha kuletewa, salama kula chakula wanachokula wafungwa wote, hiki ni ngumu kuwekwa sumu.
 
Machozi na damu za watu ndicho kimewafanya watawala wa Kikristo wamewahi kufa mapema kuliko watawala wa kiislamu.Hadi sasa Wakristo 3 waislamu 0.
 
Back
Top Bottom