imhotep
JF-Expert Member
- Oct 13, 2012
- 55,997
- 88,219
Chunga Zongo mawe😁Yaan napataga uzito
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chunga Zongo mawe😁Yaan napataga uzito
🤣🤣🤣😂😂oyaaa, ukanda wote wa Pwani ukiondoa kwa kina njomba nchumali😂
We we utakua hujafika Kigoma, nakwambia utasahau Wasukuma wako, Waha in kibokoWasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
We we utakua hujafika Kigoma, nakwambia utasahau Wasukuma wako, Waha in kibokoWasukuma wana lafudhi nzuri sana na tone nzuri. Tone ya matumaini!
Hahaha, wasukuma tena!
Nimezungukwa na waha zaid..tena ni my besties haswaaa ..wamejazana huku balaa .sema hawapendi kbs kuogaWe we utakua hujafika Kigoma, nakwambia utasahau Wasukuma wako, Waha in kiboko
Hahahahhahahahahaaa ....tumeanza kunyanyapaliwa hata kabla hatujamhifadhi duhHao hali ya hewa waliyochafua inatosha.
Hahahahhahahahahaaa ....tumeanza kunyanyapaliwa hata kabla hatujamhifadhi duh
Wachaga lugha ya kusifia au kuponda wapo vizuri sana. Wanajua Ku exaggerate has a.....usipokuwa makini unaingizwa mkenge!Chagas,lugha ya kibiashara ndio maana matangazo mengi ya biashara wanaigiza wachaga
Hao wanaokuzunguka no Waha matozi was mjini, nakuhakikishia ukibahatika kumsikiliza Muha orijino haki hutajuta, wana lafudhi ya aina yake wakiongea kiswahiliNimezungukwa na waha zaid..tena ni my besties haswaaa ..wamejazana huku balaa .sema hawapendi kbs kuoga
Mie sikipend...kizito mnooo..bora wasukumaHao wanaokuzunguka no Waha matozi was mjini, nakuhakikishia ukibahatika kumsikiliza Muha orijino haki hutajuta, wana lafudhi ya aina yake wakiongea kiswahili
We Sena umetuelewa sana tu sisi Wasukuma, naamini tutakua na nafasi yapekee ndani ya nafsi yakoMie sikipend...kizito mnooo..bora wasukuma
Bila shaka nawe unayo ya kisukumaHahahahahahahahahahaa....mie i waa kidding .mie hata niumwe jino nikimiskia msukuma anatone yake lazima nicheke balaa🤣🤣..sasa dingi yangu ana tone kama jpm..tunachekaga balaa..ila waha mie nachokaga kuwasikikiza jaman
Mchaga, mmakonde, wahayaNimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?