Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Kabila gani lina lafudhi nzuri ya Kiswahili Tanzania?

Wandengereko na wazalamo hatukuangushi.

Binafs mimi hata kindengereko sijui kuongea, ni mwendo wa Kiswahili tu, tena kile fasaha kabisa.

Wanaoharibu Kiswahili ni watu walio kulia kijijini.

Unakuta jitu likiongea tu unalijua kua hili limetoka kitama ya kwanza.
 
Nimezungukwa na waha zaid..tena ni my besties haswaaa ..wamejazana huku balaa .sema hawapendi kbs kuoga
Hao wanaokuzunguka no Waha matozi was mjini, nakuhakikishia ukibahatika kumsikiliza Muha orijino haki hutajuta, wana lafudhi ya aina yake wakiongea kiswahili
 
Hao wanaokuzunguka no Waha matozi was mjini, nakuhakikishia ukibahatika kumsikiliza Muha orijino haki hutajuta, wana lafudhi ya aina yake wakiongea kiswahili
Mie sikipend...kizito mnooo..bora wasukuma
 
"Waja leo waondoka leo?".

Mara paap, nguo zinalowekwa kwenye beseni la maji.
 
Hahahahahahahahahahaa....mie i waa kidding .mie hata niumwe jino nikimiskia msukuma anatone yake lazima nicheke balaa🤣🤣..sasa dingi yangu ana tone kama jpm..tunachekaga balaa..ila waha mie nachokaga kuwasikikiza jaman
Bila shaka nawe unayo ya kisukuma
Tatizo unaongea na waha wa vijijini 😅
 
Nimeanza kea kuuliza swali kwa maana namaanisha wakati wa kuongea Kiswahili kila mtu anarafudhi yake. Kwa mfano mwingine huongea Kiswahili kwa lafudhi ya Kichaga hadi unajua 'huyu ni mchaga', unajua kwa sababu ya lafudhi yake lakini kuna mwingine akiongea Kiswahili ile lafudhi yake inakuwa ni ya kuvutia sana kiasi kwamba unapenda aendelee kuongea tu, swali langu ni KABILA GANI ambalo wewe ndugu msomaji unapenda rafudhi yake?
Mchaga, mmakonde, wahaya
 
Back
Top Bottom