Kabila gani mkoani Tanga wapo vizuri zaidi usomaji kitabu?

Kabila gani mkoani Tanga wapo vizuri zaidi usomaji kitabu?

Kusoma vitabu?

umenimalizia mb zangu

Mimi pia ni MDIGO.

kusoma sijui

KUSOMA najua
 
Kuna kabila la waafrika Wenye bidii kusoma vitabu? Au unamaanisha kuangalia movie za kikolea
Kwenye usafiri wowote basi, treni, meli n.k umewahi kuona mwafrica kashika kitabu, nenda beach yoyote kuna kijeba yeyote kashika kitabu?
 
Back
Top Bottom