Kabila gani wanahusudu pombe zaidi?

Sumbalawinyo

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2009
Posts
1,282
Reaction score
248
Wachagga, Wasukuma, Wakurya au?
Tujadili pombe za makabila mbalimbali na stimu zake
 
Hawa wanapenda sana kuchungulia walipotoka

Na pombe pia! we tembelea Masasi nyakati za Unyago uone! wanawake wanalewa kama madume! ni ile kuchungulia ndo inanogesha stimu wakishakolea! wangoni na wanyakyusa nao misibani wanakunywa sana na harusini na mwisho lazima wachungulie!
 
Wachagga, Siku unazaliwa lazima upewe kijiko kimoja cha mbege. Usisahau na mama mzazi anapewa mbege nyiiiiingi ili maziwa yatoke kwa wingi.

Changanya na zako utapata jibu mtoto anapokuwa mkubwa inakuwaje.
 
Hakuna Raia wanaohusudu damu ya MENDE kama Wachagga

kwa INTRO tu viwanda karibia vyote vya POMBE wakurugenzi watendaji ni WACHAGA...
 
Wachagga, Siku unazaliwa lazima upewe kijiko kimoja cha mbege. Usisahau na mama mzazi anapewa mbege nyiiiiingi ili maziwa yatoke kwa wingi.

Changanya na zako utapata jibu mtoto anapokuwa mkubwa inakuwaje.

Ndio maana
 
wakurya vp? Wakipiga gongo zao wanazama chumvini, au wanazama uvunguni walikoficha mapanga na bunduki zao?
 
Acha zako basi musukuma na pombe wap na wap?

basi huku kwetu nyamwilolelwa watu wanaendekeza pombe... basi nkajua kuwa sisi ndio vigangwe kwa pombe... kumbe ina wenyewe lol..... nisamehe mkuu ckujuanga!!!!!
 
Hakuna Raia wanaohusudu damu ya MENDE kama Wachagga

kwa INTRO tu viwanda karibia vyote vya POMBE wakurugenzi watendaji ni WACHAGA...

kumbe daddy... nilikuwa namsingizia my hezbend kuwa wasukuma ni walevi.... am tho thorry my huz.. @C6....
 
Wangoni, waha na wabena ndo mwisho wa matatizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…