mojave
JF-Expert Member
- Apr 30, 2016
- 5,568
- 6,424
hahahaha umeanza mkuuHuyo mwenye shati jeupe hapo kwenye avatar yako mbona kama namjua
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahahaha umeanza mkuuHuyo mwenye shati jeupe hapo kwenye avatar yako mbona kama namjua
Wewe subiri kabila lingine mkuuMkuu...nadhan nimechelewa kidogo...ila si vibaya ukishea na ndugu zako
ebu njoo na majibu sasa ni nani vileHuyo mwenye shati jeupe hapo kwenye avatar yako mbona kama namjua
Wambulu na wairaq ni kitu kimojaEti wambulu na wairaq wanaskizana lugha
hahahahahaha hatari sanaWewe subiri kabila lingine mkuu
Uzi wa wachaga..wandegereko..Waha..wahehe bado.
Twende piemebu njoo na majibu sasa ni nani vile
Wambulu wao wanaongea kwa kusita ila wairaki wanachanganyia kama mandolinEti wambulu na wairaq wanaskizana lugha
Wambulu na wairaq ni kitu kimoja
Wambulu wao wanaongea kwa kusita ila wairaki wanachanganyia kama mandolin
Wewe subiri kabila lingine mkuu
Uzi wa wachaga..wandegereko..Waha..wahehe bado.
Twende piem
Hili kabila sijui siku ya uumbaji walitoa rushwa gani bhnamkuu, hawa raia wapo vizuri sana....tutabanana hapa hapa...uchagani nitaenda nikitaka fito za uzio.
Yes dearHey dear....
Sayuu...Saitaaa
Sawa wewe ni miiraq kwaniWambulu na wairaq ni kitu kimoja
nakungojaTwende piem
inaandikwa wairaqw mpendwa,,saitahHabarini ndugu jamaa na marafiki mliopo humu JF...
Mimi kijana wenu nmegundua kuwa kabila letu wairaki kama tupo wachache sana hapa nchini...
Ningependa tufahamiane humu vizuri....
Mbona u mzuri hivi asee...hivi na nyie mnajiita watz?Yes dear
Hili kabila sijui siku ya uumbaji walitoa rushwa gani bhna