Yegomasika
JF-Expert Member
- Mar 21, 2009
- 13,164
- 61,255
Hebu nitafutie mmoja huko Preta, Hanang au Dongobesh sitajali sana. Kwani wa dada wa hapa JF kila mtu ana wake, mwambie mimi mvuvi hodari...nani kakwambia tunakaa Hanang peke yake........njoo Dongobesh na huku Daud uone watoto wewe.....
Ngoja ntakapoleta samaki wangu hapo mjini kwa mauzo nitakutafuta, lazima niondoke na mmoja aisee!.If upo serious njoo udsm hapa, ntakuonyesha uneza ufe wewe, manake dah dah.
umesahau mbulu mjini,tlawi,mamaisara,yaeda chini,gunyoda,haydom
Hapo kwenye bold, jibu ni NDIYO. Huu uzao wa Wairaqw, Wasomali, Watutsi, Warangi, Wahabeshi (Ethiopia na Eritrea), kwa jina collectively wanajulikana kama (Hamites) wametokea middle east, miaka mia nyingi sana iliyopita.Hivi kwanini walipewa jina hilo?, wana uhusiano wowote na wairaq wa baghdad?
Hapo kwenye bold, jibu ni NDIYO. Huu uzao wa Wairaqw, Wasomali, Watutsi, Warangi, Wahabeshi (Ethiopia na Eritrea), kwa jina collectively wanajulikana kama (Hamites) wametokea middle east, miaka mia nyingi sana iliyopita.
Hapo kwenye bold, jibu ni NDIYO. Huu uzao wa Wairaqw, Wasomali, Watutsi, Warangi, Wahabeshi (Ethiopia na Eritrea), kwa jina collectively wanajulikana kama (Hamites) wametokea middle east, miaka mia nyingi sana iliyopita.
sio malaya bwana . ila sio wachoyo kabisa wa vitu vyao
No lengo ni kufanya research na kufaham zaidi ya ninavyofaham.