unaonekana wewe ni mwenyeji wa turianiNi kweli maeneo ya turiani moro pia wako upande.wa tanga na upande manyara,pia wako maeneo ya kiteto kwa hakika wamesambaa maana mpaka maeneo ya.dosidosi mkoa dodoma pia wako.
Mimi ni mnguu pia kwetu ni wilaya ya mvomero, kuna kijiji kinaitwa pemba au kwedihangala
Morogoro,ni jamii moja na wazaramo na waluguruNina rafiki yangu mzungu ktk project fulani huko nchi jirani na Tz lkn anadai yeye ni jamii ya Wanguu na eti ni kabila lipatikanalo huko kwetu Tz.
Ni mkoa upi Wanguu hupatikana huko kwetu?
Kama hawakupata fursa ya kwenda shule siyo vilaza labda kama walienda shule wakafeli.Vilaza ni wale waliopata Bashite kama Daud Albert anayejiita siku hizi Paul Jikonda.moja kati ya makabila vilaza ni hawa jamaa, hawana msomi hata mmoja serkaln
Hata Hapa Ubena tupo sisi WanguuNi kweli maeneo ya turiani moro pia wako upande.wa tanga na upande manyara,pia wako maeneo ya kiteto kwa hakika wamesambaa maana mpaka maeneo ya.dosidosi mkoa dodoma pia wako.
Mimi ni mnguu pia kwetu ni wilaya ya mvomero, kuna kijiji kinaitwa pemba au kwedihangala