Kabila la wanguu linapatikana wapi Tanzania?

Kabila la wanguu linapatikana wapi Tanzania?

Ni kweli maeneo ya turiani moro pia wako upande.wa tanga na upande manyara,pia wako maeneo ya kiteto kwa hakika wamesambaa maana mpaka maeneo ya.dosidosi mkoa dodoma pia wako.
Mimi ni mnguu pia kwetu ni wilaya ya mvomero, kuna kijiji kinaitwa pemba au kwedihangala
unaonekana wewe ni mwenyeji wa turiani
 
moja kati ya makabila vilaza ni hawa jamaa, hawana msomi hata mmoja serkaln
Kama hawakupata fursa ya kwenda shule siyo vilaza labda kama walienda shule wakafeli.Vilaza ni wale waliopata Bashite kama Daud Albert anayejiita siku hizi Paul Jikonda.
 
Ni kweli maeneo ya turiani moro pia wako upande.wa tanga na upande manyara,pia wako maeneo ya kiteto kwa hakika wamesambaa maana mpaka maeneo ya.dosidosi mkoa dodoma pia wako.
Mimi ni mnguu pia kwetu ni wilaya ya mvomero, kuna kijiji kinaitwa pemba au kwedihangala
Hata Hapa Ubena tupo sisi Wanguu
 
Mku Kilaga ww ni mwenyeji wa Kilindi kwani naomba kujua upatikanaji wa arthi ukoje.
 
Back
Top Bottom