Kabila lako limetoa mtu gani maarufu?

Magufuli Rais,Jaji mkuu Nyalali,wanasheria wakuu:Marc Bomani,Chenge,Feleshi.
Naibu Gavana wa benki kuu Bob Makani,
Mkuu wa majeshi Mabeyo.
Bila kumsahau mtoto wa dandu,dudubaya na wengine weeengi including mimi mwenyewe simba jike.
Wasukuma Oyeeeeee.
Magufuli hakuwahi kuwa msukuma kama Makani na Bomani. Wengi wao hujifanya wahaya, waha na wasukuma lakini ukweli wa ndani tunaufahamu.
 
Mwadera mwanike ?

Olemolla ?




Nimepata toto la kisukuma nishakuwa shemeji yenu
 
Politicians
1.Asha Rose Migiro
2.Juma Kapuya
3.Jumanne Maghembe

Artists
1.Dark Master
2.Nandy
 
Na Kajala et
 
Mwamunyange
Mwamposa
Christopher Mwakasege
Professor Anangisye
Anthony Lusekelo
Rayvanny
Bahati Bukuku
Boniface Mwaitege
Martha Mwaipaja
Wengineo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…