MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Magufuli hakuwahi kuwa msukuma kama Makani na Bomani. Wengi wao hujifanya wahaya, waha na wasukuma lakini ukweli wa ndani tunaufahamu.Magufuli Rais,Jaji mkuu Nyalali,wanasheria wakuu:Marc Bomani,Chenge,Feleshi.
Naibu Gavana wa benki kuu Bob Makani,
Mkuu wa majeshi Mabeyo.
Bila kumsahau mtoto wa dandu,dudubaya na wengine weeengi including mimi mwenyewe simba jike.
Wasukuma Oyeeeeee.
ky lynDiamond
Alikiba
Upendo Nkone
Chege n.k
Mwadera mwanike ?Magufuli Rais,Jaji mkuu Nyalali,wanasheria wakuu:Marc Bomani,Chenge,Feleshi.
Naibu Gavana wa benki kuu Bob Makani,
Mkuu wa majeshi Mabeyo.
Bila kumsahau mtoto wa dandu,dudubaya na wengine weeengi including mimi mwenyewe simba jike.
Wasukuma Oyeeeeee.
Unataka tukupikie Nswalu na Ugali au Michembe na Maribhoto ?Mwadera mwanike ?
Olemolla ?
Nimepata toto la kisukuma nishakuwa shemeji yenu
Pierre LiquidNjoo tuambizane hapa, kabila lako limetoa mtu gani maarufu.
Cc Zero IQ
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kingwendu
Na michembe halafu pembeni kuwe na furuUnataka tukupikie Nswalu na Ugali au Michembe na Maribhoto ?
Ali kiba ni mhehe. Baba Yale ni wa iringa . Baba yake Ali kiba sio muhaDiamond
Alikiba
Upendo Nkone
Chege n.k
Na Kajala etMagufuli Rais,Jaji mkuu Nyalali,wanasheria wakuu:Marc Bomani,Chenge,Feleshi.
Naibu Gavana wa benki kuu Bob Makani,
Mkuu wa majeshi Mabeyo.
Bila kumsahau mtoto wa dandu,dudubaya na wengine weeengi including mimi mwenyewe simba jike.
Wasukuma Oyeeeeee.
Huyo bi Tessa ni wawapi?Grace Mapunda
Mr T Touch.