Akikujibu nitagUmeshawauliza mkeo na dada ako ili swali?
Wamekujibuje.
Atakua ni Anna Tibaijuka.Hivi wizara ya madini waziri ni nani sahiv?
Wewe kweli ni ME???Wanaume tunajisikia poa kuponda wanawake. Sasa mkuki ukigeuka inakuaje.?
Kabila lenye kuongoza wanaume ma Handsome zaidi nchini.
Wanawake tu, wachangie hapa.
No rules
acha masihara basiiiwasukuma aisee ,
wanyamwezi
wagita
wakurya
wahaya
wachaga wa legelege sana aaah