Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

sembo

JF-Expert Member
Joined
May 25, 2011
Posts
4,350
Reaction score
3,451
Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??

1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.

2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.

3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.

4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.

Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
 
Hapo,
Haruna Niyonzima,
Nicolas Gyan
James Ketoi
inabidi walipwe chao na waondolewe Msimbazi.
Halafu yatafutwe majembe mengine matatu ya kigeni katika nafasi ya Ushambuliaji.
Yaana yatafutwe majembe ya uhakika.
Hata likipatikana kwanza Jembe moja au mawili sio mbaya.
 
Simba hii ikicheza uwanjani unatamani mpira usiishe maana inakupa kile ukitakacho yaani kwa kifupi pasi za nipe nikupe zinapigwa, magoli ya kuombea mkopo yanafungwa, vyenga vinapigwa yani ni full burudani
 
Hapo,
Haruna Niyonzima,
Nicolas Gyan
James Ketoi
inabidi walipwe chao na waondolewe Msimbazi.
Halafu yatafutwe majembe mengine matatu ya kigeni katika nafasi ya Ushambuliaji.
Yaana yatafutwe majembe ya uhakika.
Hata likipatikana kwanza Jembe moja au mawili sio mbaya.
Kotei aende wapi mkuu. Gyan na Haruna ndiyo sawa,
 
Kotei ni fundi sana.. Kama ukiangalia kwa umakini ndiyo anayeipa balance timu. Majembe ya kimataifa yaje tena ya kutosha yawape changamoto waliopo, ili wajitume zaidi.
 
Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??

1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.

2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.

3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.

4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.

Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
Mikia bana na Sembo huyu ni aibu.
 
Hapo,
Haruna Niyonzima,
Nicolas Gyan
James Ketoi
inabidi walipwe chao na waondolewe Msimbazi.
Halafu yatafutwe majembe mengine matatu ya kigeni katika nafasi ya Ushambuliaji.
Yaana yatafutwe majembe ya uhakika.
Hata likipatikana kwanza Jembe moja au mawili sio mbaya.
Kotei mtoe kwenye list yako... Ni nguvu kazi ya maana sana
 
Hapo,
Haruna Niyonzima,
Nicolas Gyan
James Ketoi
inabidi walipwe chao na waondolewe Msimbazi.
Halafu yatafutwe majembe mengine matatu ya kigeni katika nafasi ya Ushambuliaji.
Yaana yatafutwe majembe ya uhakika.
Hata likipatikana kwanza Jembe moja au mawili sio mbaya.
Naunga mkono hoja
 
Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??

1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.

2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.

3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.

4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.

Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
Mwenye pesa ni Mo Dewji na wala siyo Simba, mlivyo washamba mpaka mnajipachika eti nyinyi ndio wasemaji wa familia ya Dewji, hivi tangu lini mzaramo fukara awe msemaji wa muhindi Billionare?
 
Back
Top Bottom