Ukisikia mbumbumbu ndio wewe, huu ndio msimamo wa ligi?
Na Cadabra yumo?Hahaha.. Ni kweli Mkuu.. Hii kwenu ni aibu kubwa.. Haiwezekani 'mastaa' wenu.. Kwetu sisi ni wapasha benchi.. Inabidi mjitarakari.
Simba SC LTD ina pesa za MO + pesa zetu wanachama. Usajili unaenda kufanyika kwa pesa za MO + pesa za wanachama. Kwa kifupi Simba SC LTD ni one pocket ya MO + wanachama.Mwenye pesa ni Mo Dewji na wala siyo Simba, mlivyo washamba mpaka mnajipachika eti nyinyi ndio wasemaji wa familia ya Dewji, hivi tangu lini mzaramo fukara awe msemaji wa muhindi Billionare?
Sawa, mkuuMkuu we hilo neno hulitambui, ndo mana ukauliza.. Nimekujibu unabisha, au unamaana yako?
Unafahamu bank statement ya Simba ni over draft? Au unatomboka tu?Simba SC LTD ina pesa za MO + pesa zetu wanachama. Usajili unaenda kufanyika kwa pesa za MO + pesa za wanachama. Kwa kifupi Simba SC LTD ni one pocket ya MO + wanachama.
Siwezi kuweka msimamo wangu labda kama unataka msimamo wa ligi.Weka msimamo wako.. Mbona maneno yanakua mengi?
Kama hujui mpira acha kubwabwaja.Hahaha.. Haya weka msimamo wa ligi, maana nimeweka mimi umeukataa.
TFF – Tanzania Football Federation katika msimamo uliowekwa humo anaongoza Azam anafata Simba.. Au nako katika kuangalia hili kunahitaji kujua mpira?
Wewe ni mshabiki maandazi mechi ngapi ngapi na pointi ngapi ngapi?TFF – Tanzania Football Federation katika msimamo uliowekwa humo anaongoza Azam anafata Simba.. Au nako katika kuangalia hili kunahitaji kujua mpira?
Usisahau ao uliwataja wote walikuwepo wakati Mbao na Nanda wanawatoa nishai.Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??
1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.
2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.
3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.
4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.
Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
Tuwe na subra.Kama Barcelona FC ambayo 'we sail in the same boat' inafungwa, sisi ni nani??
Ila yaliyotokea Mtwara na Mwanza, kamwe hayatajirudia tena msimu huu.
mahaba niueJana nilikuwa nacheki mpira wa man u vs everton na ruvu shootng hakika mpira wa simba ulivutia zaidi ya wa man u