Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

Mwenye pesa ni Mo Dewji na wala siyo Simba, mlivyo washamba mpaka mnajipachika eti nyinyi ndio wasemaji wa familia ya Dewji, hivi tangu lini mzaramo fukara awe msemaji wa muhindi Billionare?
Simba SC LTD ina pesa za MO + pesa zetu wanachama. Usajili unaenda kufanyika kwa pesa za MO + pesa za wanachama. Kwa kifupi Simba SC LTD ni one pocket ya MO + wanachama.
 
Ukisikia mbumbumbu ndio wewe, huu ndio msimamo wa ligi?

Ujinga huu ndio unawafanya vichaa mpaka kutambia utjiri wa familia ya Dewji wakati club iko joi bin taabani.
Weka msimamo wako.. Mbona maneno yanakua mengi?
 
Simba SC LTD ina pesa za MO + pesa zetu wanachama. Usajili unaenda kufanyika kwa pesa za MO + pesa za wanachama. Kwa kifupi Simba SC LTD ni one pocket ya MO + wanachama.
Unafahamu bank statement ya Simba ni over draft? Au unatomboka tu?
 
Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??

1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.

2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.

3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.

4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.

Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
Usisahau ao uliwataja wote walikuwepo wakati Mbao na Nanda wanawatoa nishai.
 
Kotei hapana kabisa, Niyonzima namtakia safari njema kwasababu sioni kabisa nafasi yake pale msimbazi, Gyan huwezi kumuachia kwasababu huna uhakika kama Kapombe anaweza kumaliza msimu mzima bila majeruhi au kuwa kwenye ubora huo huo msimu mzima, Kaheza wanaweza kumtoa kwa mkopo pia kwasababu nafasi yake ni finyu sana pale msimbazi kwa sasa.
 
Usisahau ao uliwataja wote walikuwepo wakati Mbao na Nanda wanawatoa nishai.
Kama Barcelona FC ambayo 'we sail in the same boat' inafungwa, sisi ni nani??
Ila yaliyotokea Mtwara na Mwanza, kamwe hayatajirudia tena msimu huu.
 
Kama Barcelona FC ambayo 'we sail in the same boat' inafungwa, sisi ni nani??
Ila yaliyotokea Mtwara na Mwanza, kamwe hayatajirudia tena msimu huu.
Tuwe na subra.
 
Back
Top Bottom