Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

Hapo wanaostahili kuondoka ni Niyonzima tu Kotei ni back up ya Mkude hope umeona mechi ambazo hawakucheza kulikuwa na kupwaya Fulani kwenye kiungo labda Mzamiru apone haraka
 
Kwa hiyo Amunike hana akili timamu?
Chizi tu..Kama uliona interview ya Banda wakati wanaenda Cape Verde..aliwaonyesha viongozi wa Baroka videos za Ajibu wakavutiwa nae..wakamwambia amshawishi aende kukipiga bondeni....Coach angekuwa Sunday Oliseh au Okocha unafikiri wangemuacha???
 
Chizi tu..Kama uliona interview ya Banda wakati wanaenda Cape Verde..aliwaonyesha viongozi wa Baroka videos za Ajibu wakavutiwa nae..wakamwambia amshawishi aende kukipiga bondeni....Coach angekuwa Sunday Oliseh au Okocha unafikiri wangemuacha???
Hahaha.. Ikawaje sasa mpaka sasa bado yupo bongo?
 
Nimecheka hiyo namba 3 ulivyo malizia hoja yako
 
Mwenye pesa ni Mo Dewji na wala siyo Simba, mlivyo washamba mpaka mnajipachika eti nyinyi ndio wasemaji wa familia ya Dewji, hivi tangu lini mzaramo fukara awe msemaji wa muhindi Billionare?
Daaah sawa mkuu lakini si ndio tajiri wetu anaetufanya tusitembeze bakuli kama wale jiran zetu
 
Nimecheka hiyo namba 3 ulivyo malizia hoja yako
Hahaha.. Lakini ndo ukweli wenyewe huo Mkuu.. Imagine, Mzamiru, Mzee wa Makombora ya masafa marefu Ndemla, Niyonzima tukiwatupa kwenye kikosi chao lazima wageuke kua lulu.
 
Wale waliokua wanapiga kelele kuhusu msimamo wa ligi.. Baada ya mechi ya jana ya Stand vs Mwadui.. Mambo yako hivi..
 
Reactions: Tui
Jana nilikuwa nacheki mpira wa man u vs everton na ruvu shootng hakika mpira wa simba ulivutia zaidi ya wa man u
Yaani mpira mmecheza na wale watoto afu mnajisifia mna mpira mzuri kuliko man?
 
Mlipeni chake Niyonzima kufuatana na mkataba.
Kama Mwambeleko, anajuta kuingia Msimbazi.
 
Wale waliokua wanapiga kelele kuhusu msimamo wa ligi.. Baada ya mechi ya jana ya Stand vs Mwadui.. Mambo yako hivi..View attachment 915695
Hii ligi inauonevu mkubwa sana team nyingine bado ina mechi nane zingine kumi na mbili hauwezi kuwa mwanya wa kupanga matokeo huu.
Hii bodi ya ligi inaongozwa na vichwa maji hii tena maji ya tope
 
Hii ligi inauonevu mkubwa sana team nyingine bado ina mechi nane zingine kumi na mbili hauwezi kuwa mwanya wa kupanga matokeo huu.
Hii bodi ya ligi inaongozwa na vichwa maji hii tena maji ya tope
Yanga bhana..
1. Mlipangiwa mechi 3 za mwanzo ugenini.. Mkalalamika
2. Mkapangiwa mechi 11 nyumbani.. Mkafurahi
3. Sasa mpo nyuma mechi 2.. Mnapiga kelele, utafikiri hamtacheza hivyo viporo vyenu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…