Hapo wanaostahili kuondoka ni Niyonzima tu Kotei ni back up ya Mkude hope umeona mechi ambazo hawakucheza kulikuwa na kupwaya Fulani kwenye kiungo labda Mzamiru apone harakaHapo,
Haruna Niyonzima,
Nicolas Gyan
James Ketoi
inabidi walipwe chao na waondolewe Msimbazi.
Halafu yatafutwe majembe mengine matatu ya kigeni katika nafasi ya Ushambuliaji.
Yaana yatafutwe majembe ya uhakika.
Hata likipatikana kwanza Jembe moja au mawili sio mbaya.
Kagere na Bocco hawawezi kumuweka benchi Ajibu kama kocha ana akili timamuPale anamuweka benchi nani?
Chizi tu..Kama uliona interview ya Banda wakati wanaenda Cape Verde..aliwaonyesha viongozi wa Baroka videos za Ajibu wakavutiwa nae..wakamwambia amshawishi aende kukipiga bondeni....Coach angekuwa Sunday Oliseh au Okocha unafikiri wangemuacha???Kwa hiyo Amunike hana akili timamu?
Hahaha.. Ikawaje sasa mpaka sasa bado yupo bongo?Chizi tu..Kama uliona interview ya Banda wakati wanaenda Cape Verde..aliwaonyesha viongozi wa Baroka videos za Ajibu wakavutiwa nae..wakamwambia amshawishi aende kukipiga bondeni....Coach angekuwa Sunday Oliseh au Okocha unafikiri wangemuacha???
Daaah sawa mkuu lakini si ndio tajiri wetu anaetufanya tusitembeze bakuli kama wale jiran zetuMwenye pesa ni Mo Dewji na wala siyo Simba, mlivyo washamba mpaka mnajipachika eti nyinyi ndio wasemaji wa familia ya Dewji, hivi tangu lini mzaramo fukara awe msemaji wa muhindi Billionare?
gyan kumuondoa ni uonevu masikini ghana alikuwa striker yule na tulimsajili akiwa top scorer wa league ya ghana , mungu amsaidie tu arudishwe mbele sio beki yuleKotei aende wapi mkuu. Gyan na Haruna ndiyo sawa,
Yaani mpira mmecheza na wale watoto afu mnajisifia mna mpira mzuri kuliko man?Jana nilikuwa nacheki mpira wa man u vs everton na ruvu shootng hakika mpira wa simba ulivutia zaidi ya wa man u
Nimegundua kumbe unaandika kishabiki siyo uhalisia.
jaribu na wewe ku overdraw akaunti yako uje uweke hapaUnafahamu bank statement ya Simba ni over draft? Au unatomboka tu?
Mlipeni chake Niyonzima kufuatana na mkataba.Baada ya kumpa 5 Ndg. Masua Bwire jana, Usiku mzima nilikua nawaza, dirisha dogo la usajili la TPL linafungiliwa wiki kadhaa zijazo.. Je ni mchezaji gani Simba SC tumsajiri toka hizi timu za hapa Bongo??
1. Golikipa:
Kwa sasa Simba SC ina magolikipa bora kabisa nchini, Manula na Dida. Kwa kifupi tuna Tanzania 1 na Tanzania 2. Hapo sijamtaja golikipa bora wa michuano migumu barani Africa, ukiacha AFCON ambayo ni CECAFA.
2. Beki:
Beki ya Simba SC imesheheni vilivyo.. kuna vijana kuna wakongwe. Mfano akiumia kwasi kuna tshabalala, akiumia nyoni kuna juuko, akiumia wawa kuna mlipili, kuna kapombe n.k. Wachambuzi wa soka pamoja na Alex Kitenge wanakiri kua Simba SC ina beki imara zaidi nchini.
3. Viungo:
Hapa ndipo Mnyama alipotakata. Kuna kila aina ya kiungo unayemjua wewe dunia hii, na wote ni mafundi haswaaa. Mpaka sasa kuna viungo hawajatumika ipasavyo, ambapo naona kama wakienda mtaa wa 2 wanaingia moja kwa moja katika kikosi chao cha kwanza.
4. Ushambuliaji:
Package iliyopo huku ni balaa tupu. Kuna Okwi, MK14, Kichuya, Salamba, Bocco n.k Kwa kifupu Bongo hii hakuna mshambuliaji toka timu pinzani atakayethubutu kukaa hata benchi.
Sasa nadiriki kusema kabla dirisha dogo la usajili halijafunguliwa.. Si tushalifunga.
Tunasubiri kuwafahamu mabingwa wa CAF Confederation Cup na CAF Champions League, ili tuweze kusajili wachezaji toka hizo timu.. Hela si tunazo.. Hahaha.
Huu msimamo ambao hauonyeshi timu ambazo hazijafungwa ni batili. The the tehHuu hapa..
View attachment 915732
Hii ligi inauonevu mkubwa sana team nyingine bado ina mechi nane zingine kumi na mbili hauwezi kuwa mwanya wa kupanga matokeo huu.Wale waliokua wanapiga kelele kuhusu msimamo wa ligi.. Baada ya mechi ya jana ya Stand vs Mwadui.. Mambo yako hivi..View attachment 915695
Yanga bhana..Hii ligi inauonevu mkubwa sana team nyingine bado ina mechi nane zingine kumi na mbili hauwezi kuwa mwanya wa kupanga matokeo huu.
Hii bodi ya ligi inaongozwa na vichwa maji hii tena maji ya tope