Kabla dirisha dogo halijafunguliwa, Simba SC kashalifunga

Yanga bhana..
1. Mlipangiwa mechi 3 za mwanzo ugenini.. Mkalalamika
2. Mkapangiwa mechi 11 nyumbani.. Mkafurahi
3. Sasa mpo nyuma mechi 2.. Mnapiga kelele, utafikiri hamtacheza hivyo viporo vyenu
Wazee wa kuilalamikia viporo kwa kutumia Msemaji wao wanajulikana. Kwa Yanga havichachi
 
Yanga bhana..
1. Mlipangiwa mechi 3 za mwanzo ugenini.. Mkalalamika
2. Mkapangiwa mechi 11 nyumbani.. Mkafurahi
3. Sasa mpo nyuma mechi 2.. Mnapiga kelele, utafikiri hamtacheza hivyo viporo vyenu
We jamaa kunihusianisha na Yanga Mimi ni kosa la jinai hizo bangi uache kuanzia Leo na uniombe radhi kwa muda wa mwaka mmoja mfululizo.
 
We jamaa kunihusianisha na Yanga Mimi ni kosa la jinai hizo bangi uache kuanzia Leo na uniombe radhi kwa muda wa mwaka mmoja mfululizo.
Hahaha.. Samahani sana Mkuu.
Na naandaa official statement juu ya hili suala. Nitaitoa rasmi.
 
Kotei asiondoke
 
Mimi nashauri imchukue na Kakolanya kabisa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…