Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

JituMirabaMinne

JF-Expert Member
Joined
May 4, 2020
Posts
3,381
Reaction score
9,744
images (2).jpeg

Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 50,000/= tu kwa gari zote ndogo)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 30,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.
 
View attachment 1689219
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 40,000/= tu kwa gari hizi Toyota, Nissan, Suzuki, Subaru, Jeep na Ford)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 20,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.
Namba moja na namba 2 naona unakua ni mtego. Ni ngumu sana, unaweza kupeleka gari sehem baadae unaambiwa hii ni full, wakati haikisi uhalisia. Tunaomba utuwekee wazi ipi hasa ni full na ipi ni kawaida!
Maelezo ni mazuri, na tutachukua namba maana haya mambo yana changamoto kubwa, ila ingekua vema kama ungetuambia unapatikana wapi na ni mji gani(hoping labda ni DSM)
 
Namba moja na namba 2 naona unakua ni mtego. Ni ngumu sana, unaweza kupeleka gari sehem baadae unaambiwa hii ni full, wakati haikisi uhalisia. Tunaomba utuwekee wazi ipi hasa ni full na ipi ni kawaida!
Maelezo ni mazuri, na tutachukua namba maana haya mambo yana changamoto kubwa, ila ingekua vema kama ungetuambia unapatikana wapi na ni mji gani(hoping labda ni DSM)

Nipo Dar pia magomeni Mwembechai.

Full system tunapima mifumo yote ya gari lako. Nashindwa kuimention maana kuna gari zina mifumo hata 20 inafika. Engine, Gearbox, ABS, Airbag, Air Condition, Immobilizer, AFS, na nyingine nyingi sana.

Engine diagnosis inahusu engine tu.

So far pricing ilipanda kidogo sababu niliongeza vitu kama testing n.k.

Now ni 50,000/= kwa full na 30,000/= kwa engine peke yake.
 
Namba moja na namba 2 naona unakua ni mtego. Ni ngumu sana, unaweza kupeleka gari sehem baadae unaambiwa hii ni full, wakati haikisi uhalisia. Tunaomba utuwekee wazi ipi hasa ni full na ipi ni kawaida!
Maelezo ni mazuri, na tutachukua namba maana haya mambo yana changamoto kubwa, ila ingekua vema kama ungetuambia unapatikana wapi na ni mji gani(hoping labda ni DSM)

Yes Yupo Dar

Haya mambo yana shida sana ndugu yangu.

Ukifuatilia comment yangu hapo juu nimemuuliza jamaa ( Can i trust you?)

Maana tunaumizwa sana na hawa mafundi

Binafsi nitafanya nae kazi
 
View attachment 1689219
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 50,000/= tu kwa gari zote ndogo)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 30,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.

Mkuu mnapima ishu za sterling kuwa ngumu au ni hapo kwenye gearbox tu.if yes gharama ikoje?
 
Mkuu mnapima ishu za sterling kuwa ngumu au ni hapo kwenye gearbox tu.if yes gharama ikoje?

Kama steering yako ni ya umeme yes tunapima na karibu. Gharama ni 30,000/=

Kama ni ya hydraulic zipo zingine tunapima zingine hatupimi.
 
Back
Top Bottom