Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

Kabla hujabadilisha automatic gearbox ya gari lako soma hapa

View attachment 1689219
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 50,000/= tu kwa gari zote ndogo)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 30,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.
Mada nzuri...
 
View attachment 1689219
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 50,000/= tu kwa gari zote ndogo)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 30,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.
Habari mkuu samahani naomba kuelewa kitu kwenye maelekezo yako Una maana kabla ya kubadili gearbox ya automatic ni lazima kufanya iyo diagnoses?
 
Habari mkuu samahani naomba kuelewa kitu kwenye maelekezo yako Una maana kabla ya kubadili gearbox ya automatic ni lazima kufanya iyo diagnoses?

Labda sijaeleweka. Lengo la mimi kuandika lilikuwa ni vizuri ukajiridhisha kama shida ni engine au gearbox.

Maana gearbox inaweza ikashindwa kubadili gear kwa sababu ya engine. Hapo hata ununue gearbox 10. Zote utaona ni mbovu.

Nilichokieleza hapo kila mtu anaweza kujaribu kwenye gari lake. Bila hata kuita fundi.

Ingawa pia yapo matatizo kwenye gearbox ni madogo na mtu anaweza kurekebisha bila kubadili gearbox. Hapo ndo anaweza akaenda kwa mtu akapima.
 
Labda sijaeleweka. Lengo la mimi kuandika lilikuwa ni vizuri ukajiridhisha kama shida ni engine au gearbox.

Maana gearbox inaweza ikashindwa kubadili gear kwa sababu ya engine. Hapo hata ununue gearbox 10. Zote utaona ni mbovu.

Nilichokieleza hapo kila mtu anaweza kujaribu kwenye gari lake. Bila hata kuita fundi.

Ingawa pia yapo matatizo kwenye gearbox ni madogo na mtu anaweza kurekebisha bila kubadili gearbox. Hapo ndo anaweza akaenda kwa mtu akapima.
Asante sana nime kupata
 
View attachment 1689219
Ili gari yenye gearbox ya automatic(automatic transmission) iweze kubadilisha gear kuna taarifa kuu mbili ni lazima zipokelewe na mfumo wa kompyuta(control unit) ndio gear zitaweza kubadilika. Taarifa hizo ni:-


1. Speed ambayo driving shaft/tairi zinazunguka.


2. Speed ambayo engine inazunguka(Engine RPM).


Au kwa lugha rahisi ili gari iweze kubadili gear ni lazima speed ya engine na speed ya gari zifahamike. Iwapo kimojawapo kati ya hivyo kitakosekana basi ni lazima kuwe na matatizo katika ubadilishaji wa gear au hata kukosa gear kabisa.


Sasa kama umeangalia kwa umakini, kimojawapo kati ya hivyo viwili kinahusiana na engine. Hivyo endapo speed ya engine haipandi vile inavyoyakiwa, gari haitobadilisha gear. Na shida haitakuwa gearbox ila ni engine.


Njia rahisi ya kuweza kujua kama shida ni gearbox au engine ni.


1. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine/mshale wa RPM unaenda juu sana na gari inaenda kwa speed ndogo kuliko kawaida basi shida ipo kwenye gearbox.


2. Endapo unaendesha gari na unaona ukikanyaga accelerator muungurumo wa engine unabaki kawaida/mshale wa RPM haufiki hata 3 au kama inataka kuzima basi shida ni engine.


Mwisho


**********#############*************


Tunajihusisha na


1. Full Systems Diagnosis (Gharama ni Tsh. 50,000/= tu kwa gari zote ndogo)


2. Engine Diagnosis kwa brand yoyote ya gari. Gharama ni Tsh. 30,000/= tu


3. Repair Matatizo ya engine.


4. Repair matatizo ya Automatic Gearbox.


5. Kupima na kukagua gari kwa wanaotaka kununua gari zilizotumika.


6. Pia kama unahitaji gari used ambayo inafanya kazi vizuri tuwasiliane. Tutatatuta kuipima na kuhakikisha kuwa ni nzima kabla ya kukuita.

Corolla yenye engine ya 5A Fe ina speed sensor ngapi na ni sensor ipi inayopeleka signal kwenye speedometer? Kutoka kwenye gearbox
 
Corolla yenye engine ya 5A Fe ina speed sensor ngapi na ni sensor ipi inayopeleka signal kwenye speedometer? Kutoka kwenye gearbox
Zinaweza kuwa mbili.... Hapo mpaka uchomoe moja moja ndio utajua ipi ni ipi.
 
Slipping clutch pack ya gia namba 3. Inamaanisha gari yako inatembelea gia 1 na 2. Ikitaka kwenda namba 3 inakuwa free kwa sababu clutch zimekwisha


Kwenye gearbox automatic gear changing haifanywi na clutch pack moja.

Gearbox kama hiyo ya Harrier U140 series inakuwa na clutch pack 8. Na kila moment gari inapobadili gear kunakuwa na clutch pack 3 mpaka 5 ambazo zinafanya kazi combined.

Hii ni Structure ya gearbox za U140/U240 series ambayo mojawapo ndio inafunga kwenye Harrier. Hapo wameonesha Clutch pack zote 8 na zipo zinakuwa ON gari inapokuwa kwenye gear fulani.

IMG_20220128_225216.jpg



Huu ni mfano wa forward clutch na wameonesha clearance hivyo inakuwa ni rahisi kujua kama clutch zimeisha au lah.

IMG_20220128_231400.jpg


I hope nimeeleweka.
 
Back
Top Bottom