Kabla hujaenda Uingereza na Marekani lazima uyajue haya ili usibwage manyanga, huku wanaita hivi, kule wanaita hivi

Asante kwa taarifa mkuu
 
Ukitaka kitu utakijua tu huko huko ushamba mwanzoni ila mbelen utakuwa mjanja.. ujisema ujue matamshi yote utabakia bongo tu.. unanikumbusha kipindi naenda China watu walinisema ooh nitazungumzaje nikajibu kitaeleweka huko huko mapambano hayaitaji uoga nikasonga na nikawa nawasiliana nao kibubu bubu na.kiziwi hahahhaa tembea uone.
 
more important ingekua gharama za kuishi isa na zile za uk ingekua poa sana
 
Kinachotakiwa kuelewana tu, kama kiingereza cha America nikaenda kukiongea kwa Malkia Elizabeth nadhani itakuwa sio mbaya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…