Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

Si ndiyo kama uchebe mzee [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38], ogopa sana umetoka na demu kijijini ukamleta mjini ahhhh basiiii kakijanjaruka tu sio wako tena
hatari sana babu!
 
Mpaka hapa huu mpango wa Volunteer program Ni mzuri kbsa na unafanya kazi kwa asilimia zote na majibu huonekana ndani ya mda mfupi sana kama ukifuatilia kwa jaribu .Ni muhimu Sana na Bora katika maisha yenu


Mimi nishachukua mbinu za FBI tayar kuzitumia pale nitakapohitaji na hakika sitofeli nitamchunguza nje ndani mke wang mtarajiwa na kumfanyia assessment kubwa na volunteer sana ndo Ni angalie reactions itatake place chemical equations ikibalance natangza Nia

Sent using Jamii Forums mobile app
 
unampa mimba kabisa mnalea mtoto mwaka mzima,baada ya hapo ndiyo unaamua kuwa mnaendelea au unapiga spana.
 
Mpka hapa warembo wote na wenye shepu zao USHAWAPOTEZA mudaa..
Watakaofaulu haya ni substandard..
 
Kwa uzi huu, your officially promoted to senior technician baharia
Majukumi yako,
Kusimamia recruitment ya mabaharia wapya
Training and development ya existing baharia ili kuendana na current circumstances za wadada,
Conduct auditing, kushauri management kuandaa sera, kanuni na taratibu za chama
Kusimamia sheria na kanuni za baharia foundation
Tunakutakia utendaji mwema katika majukumu yako mapya kama ilivyoainishwa kwenye sheria ya utumishi wa mabaria
 
Mpka hapa warembo wote na wenye shepu zao USHAWAPOTEZA mudaa..
Watakaofaulu haya ni substandard..
Hawafai kuwa wake hao. Mwanamke anaedanga ndio hataki kubanwa banwa ila ambaye yuko free na wewe hana presha hata ukitaka kushinda nae siku nzima. Be careful!!!
 
Naahidi kuitumikia nafasi yangu mpya vizuri kwa uaminifu mkubwa na kwa mujibu wa katiba ya mabaharia. Eeh Mungu nisaidie!!
 
Baharia mwandamizi [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Vijana mna misemooo[emoji119]

Cc Smart911
 
Kupata Mke mwema ni Mwenyezi Mungu tu akujalie. Unaweza kumchunguza na ukamuona ana tick kwenye departments zote. Muoe sasa hapo ndiyo utaanza kuona kila rangi na kulalama kabla sijamuoa huyu hakuwa hivi. What happened 😳

Heading kama sijailewa hivi ila fresh, muktadha umeeleweka zaidi,

Wanawake wa sahivi ni kazi kuwachunguza na kupata unachotaka kukipata, cha msingi ni kumuomba Mungu tu akupe m mtu sahihi, mengine ni mitihani tu isiyo na mantiki
 
Kupata Mke mwema ni Mwenyezi Mungu tu akujalie. Unaweza kumchunguza na ukamuona ana tick kwenye departments zote. Muoe sasa hapo ndiyo utaanza kuona kila rangi na kulalama kabla sijamuoa huyu hakuwa hivi. What happened [emoji15]
Sawa sawa ndugu yangu, mambo ya kuchunguzana ni magumu sana, watu huficha their true colors hata miaka ili tu afikie malengo yake, mkishaingia kwenye ndoa tu mambo yanabadilika, sasa baada ya mwezi tu unashangaa mbona mwenzangu alikua hana hizi tabia.
 
Tatizo wengine magumu kuhamia kwako muishi naye bila ndoa anadai dhambi kalipe mahali kwao
 
Hahaha
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…