Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mpka hapa warembo wote na wenye shepu zao USHAWAPOTEZA mudaa..Volunteer Program:
Hii inamaanisha ni kumshawishi binti ambaye unataka awe mwenza wako akubali kuishi pamoja na wewe wakati mnajipanga kimaisha. Mtengenezee mazingira awe kama mke kabisa ila kimsingi unakuwa bado hujamuoa kwa maana anakuwa anajitolea tu. Mpe treatment kama mke tu for as long as you can with full control. Hii itakusaidia kujua madhaifu yake kama mwanamke ambaye unatarajia kumuoa. Wote mnaweza kuwa mnafanya kazi ama mnasoma pamoja it all works alimradi awe free kuishi na wewe tu.
Kuhusu wale fakers:
90% huwa hawatoboi kwenye hii probation period maana hawanaga uvumilivu wa muda mrefu.
Timeframe nzuri ni kati ya miezi 6 mpaka 1.5 years! Ishi nae na mtaiti kweli kweli kuwa very keen in each of her actions and responses. Lazma mtagombana at times na ndio itakuwa chance ya kujua anakupenda kweli au mzushi.
Hawafai kuwa wake hao. Mwanamke anaedanga ndio hataki kubanwa banwa ila ambaye yuko free na wewe hana presha hata ukitaka kushinda nae siku nzima. Be careful!!!Mpka hapa warembo wote na wenye shepu zao USHAWAPOTEZA mudaa..
Watakaofaulu haya ni substandard..
Naahidi kuitumikia nafasi yangu mpya vizuri kwa uaminifu mkubwa na kwa mujibu wa katiba ya mabaharia. Eeh Mungu nisaidie!!Kwa uzi huu, your officially promoted to senior technician baharia
Majukumi yako,
Kusimamia recruitment ya mabaharia wapya
Training and development ya existing baharia ili kuendana na current circumstances za wadada,
Conduct auditing, kushauri management kuandaa sera, kanuni na taratibu za chama
Kusimamia sheria na kanuni za baharia foundation
Tunakutakia utendaji mwema katika majukumu yako mapya kama ilivyoainishwa kwenye sheria ya utumishi wa mabaria
Heading kama sijailewa hivi ila fresh, muktadha umeeleweka zaidi,
Wanawake wa sahivi ni kazi kuwachunguza na kupata unachotaka kukipata, cha msingi ni kumuomba Mungu tu akupe m mtu sahihi, mengine ni mitihani tu isiyo na mantiki
Sawa sawa ndugu yangu, mambo ya kuchunguzana ni magumu sana, watu huficha their true colors hata miaka ili tu afikie malengo yake, mkishaingia kwenye ndoa tu mambo yanabadilika, sasa baada ya mwezi tu unashangaa mbona mwenzangu alikua hana hizi tabia.Kupata Mke mwema ni Mwenyezi Mungu tu akujalie. Unaweza kumchunguza na ukamuona ana tick kwenye departments zote. Muoe sasa hapo ndiyo utaanza kuona kila rangi na kulalama kabla sijamuoa huyu hakuwa hivi. What happened [emoji15]
Tatizo wengine magumu kuhamia kwako muishi naye bila ndoa anadai dhambi kalipe mahali kwaoVolunteer Program:
Hii inamaanisha ni kumshawishi binti ambaye unataka awe mwenza wako akubali kuishi pamoja na wewe wakati mnajipanga kimaisha. Mtengenezee mazingira awe kama mke kabisa ila kimsingi unakuwa bado hujamuoa kwa maana anakuwa anajitolea tu. Mpe treatment kama mke tu for as long as you can with full control. Hii itakusaidia kujua madhaifu yake kama mwanamke ambaye unatarajia kumuoa. Wote mnaweza kuwa mnafanya kazi ama mnasoma pamoja it all works alimradi awe free kuishi na wewe tu.
Kuhusu wale fakers:
90% huwa hawatoboi kwenye hii probation period maana hawanaga uvumilivu wa muda mrefu.
Timeframe nzuri ni kati ya miezi 6 mpaka 1.5 years! Ishi nae na mtaiti kweli kweli kuwa very keen in each of her actions and responses. Lazma mtagombana at times na ndio itakuwa chance ya kujua anakupenda kweli au mzushi.
HahahaWakuu vipi?
Hii kitu inaonekana imekaa kiajabu ila trust me, inasaidia sana. Unapofikia hatua ya kutaka kuoa hasa vijana wa mjini hakikisheni mnawafanyia uchunguzi wa tabia wapenzi wenu.
Mtie mpenzi wako kwenye volunteer program. Hii ni mbinu ya kijasusi ambayo inahusisha kumteka mtoto wa kike na ku-chill naye kwako katika probation period kwa muda flani ili kuzijua tabia zake kwa undani ambapo si rahisi kuzigundua iwapo mtakuwa mnakutana kwa masaa machache. Nzuri zaidi kama mko chuo ama mnafanya kazi ambapo binti pia anakua amepewa uhuru wa kujitegemea kimaisha.
Katika kipindi hiki ndio utajua kwamba je, tabia mbaya za binti huyo na kama zinavumilika ili ukiingia kwenye ndoa ujue kabisa changamoto zake kitabia na uwe umeridhia kupambana nazo. Itaepusha matatizo ya kuja kulalamika kwamba mwanamke mchafu, mara haogi siku 2, hapigi mswaki n.k.
Regards,
Extrovert
Baharia Mwandamizi.