Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

kumbe kutooga na kutopiga mswaki nazo ni tabia mbaya..kweli nipo nyuma sana na dunia..!
 
Unashangaa binti unaetaka kumuoa akisikia tu mziki anaanza kukatika katika

Aseeee
Hatari af anakwambia mie ndio ugonjwa wangu huo! Yani naweza cheza hata kwenye gari la promosheni wakipitaga nje 🤣🤣🤣
 
toka nijitambue sijawahi sikia kuwa uchafu ni sehemu ya tabia mbaya..mtu kuwa uchafu hutokea kwa sababu either kutingwa na shughuli ama kuwa na kipato kidogo hivyo kushindwa kujijari..nimestaajabu!
wewe unataka kuniambia u busy ndio unakufanya usioge?
 
Heading kama sijailewa hivi ila fresh, muktadha umeeleweka zaidi,

Wanawake wa sahivi ni kazi kuwachunguza na kupata unachotaka kukipata, cha msingi ni kumuomba Mungu tu akupe m mtu sahihi, mengine ni mitihani tu isiyo na mantiki
Umesema kweli, binadamu tunajua kupritendi balaa
 
Ukute huyo unaempatia nafasi ya ku volunteer kumbe nae tyr ameshawahi kujitolea nyumba nne tofauti kwa hiyo atakuwa ni mzoefu tu
 
Back
Top Bottom