Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

Kabla hujaoa hakikisha unampigisha mwenzi wako Volunteer Program

Heading kama sijailewa hivi ila fresh, muktadha umeeleweka zaidi,

Wanawake wa sahivi ni kazi kuwachunguza na kupata unachotaka kukipata, cha msingi ni kumuomba Mungu tu akupe m mtu sahihi, mengine ni mitihani tu isiyo na mantiki
Wako ulimpataje jirani.
 
Unaweza kukaa na mwanamke miaka 10 na usijue tabia yake hata kidogo na asikucheat pale anapotaka hitaji lake litimie akiingia tu katika ndoa shughuri yake ndio utajua

Omba Mungu akupatie yule mwenye kujua dini na misingi yake na umuhimu wa mke kwa mume
 
Hasa hao wa Dar ndio matatizo matupu! Wengi wanaishi katika fantasy za instagram. Ngumu sana yani ila trust me mwanamke fake ni rahisi sana kumgundua ukimbana ndani kwa kulala na kuamka nae.
Dar jiji la moto sana, we angalia tu hata wale walio ndani ya ndoa mambo wanayopitia, waliokuwa wanakaa nje mkoa Dar , wakihamia Dar tu ndoa yao inaingia majaribuni sana, nimeshaona ndoa nyingi sana walikua vizuri lakini wakija kuishi Dar ugomvi kila siku, Dar mji mzito sana vishawishi, makundi ya hovyo hovyo yani mambo ni tafrani, yani watu mpaka kuachana kwa misukosuko,
 
Haaah mkuu ndo maana kuna uzi mmoja ulidai una ndoa isiyo rasmi. Sasa nishajua uko naye kwenye volunteer program.
 
Hivi kumbe mabaharia bado mnaoa? Niliona kwenye minutes zenu za kikao cha mwisho kuwa mtupe tu ujauzito kisha mchukue watoto mlee
 
Dar jiji la moto sana, we angalia tu hata wale walio ndani ya ndoa mambo wanayopitia, waliokuwa wanakaa nje mkoa Dar , wakihamia Dar tu ndoa yao inaingia majaribuni sana, nimeshaona ndoa nyingi sana walikua vizuri lakini wakija kuishi Dar ugomvi kila siku, Dar mji mzito sana vishawishi, makundi ya hovyo hovyo yani mambo ni tafrani, yani watu mpaka kuachana kwa misukosuko,

Hahahah kuna kasichana kalikuwa kafanyakazi kangu katoto kabichi sana black beauty. Nikakapa line ya kazi Dar hapo Kisemvule. Kalikuwa na msimamo sana ila baada ya kukutana na wale Wakulungwa madingi matajiri wa town pesa inamwagika mixa wanapaki ma VX V8. Huwezi amini kalibadili gia angani ghafla kakamsahahu chalii yake aliomuacha mkoa. Now kamepangishiwa mjengo na simu kali ya kutumia. Kalikuwaga hakana smartphone bila kusahau mipunga ya hapa na pale shopping hizi na nini.


Huku mkoa kalikuwa na jamaa yake ni DJ wa pub usiku mchana anapiga bajaji. Walikuwa wanaishi getho moja full mahaba kila mara jamaa analetaga chipsi misosi misosi demu akiwa kazini. Jioni jamaa anampitia wanaondoka wote wanarudi zao walipopanga. Demu akamvutia jamaa kazi ya u DJ kufika kule dogo akakuta mazingira tofauti. Kuja kusanuka dah mzigo umeshaibiwa na Tajiri.

Ikabidi itokee varangati, dogo Dar ikawa chungu akarudi zake mkoa. Alimanusura amtie kisu yule msichana wake.🤣🤣🤣🤣🤣 Kimsingi Dar hapafai hasa kama unamiliki manzi halafu hela huna. Pia ile tabia ya Mazee kumwaga noti ili kupora vibinti vidogo....Ushauri ni kununua Painkiller in Advance ili ukija kupigwa kazi usiumie zaidi.
 
toka nijitambue sijawahi sikia kuwa uchafu ni sehemu ya tabia mbaya..mtu kuwa uchafu hutokea kwa sababu either kutingwa na shughuli ama kuwa na kipato kidogo hivyo kushindwa kujijari..nimestaajabu!
Eti jamani [emoji16]....mimi pia sijawahi kusikia
 
88% efficient, hasa akiwa hajui una mpango gani nae. 70% efficient ikiwa umemjuza lengo.
Naunga mkono hoja
Kingine wakati wa hyo program asiambiwe hali halisi, muishi tu ila kichwani kwako ndo uwe unajua nini unafanya.

Nina hakika huu mkakati unafanya kazi
 
Hahahah kuna kasichana kalikuwa kafanyakazi kangu katoto kabichi sana black beauty. Nikakapa line ya kazi Dar hapo Kisemvule. Kalikuwa na msimamo sana ila baada ya kukutana na wale Wakulungwa madingi matajiri wa town pesa inamwagika mixa wanapaki ma VX V8. Huwezi amini kalibadili gia angani ghafla kakamsahahu chalii yake aliomuacha mkoa. Now kamepangishiwa mjengo na simu kali ya kutumia. Kalikuwaga hakana smartphone bila kusahau mipunga ya hapa na pale shopping hizi na nini.


Huku mkoa kalikuwa na jamaa yake ni DJ wa pub usiku mchana anapiga bajaji. Walikuwa wanaishi getho moja full mahaba kila mara jamaa analetaga chipsi misosi misosi demu akiwa kazini. Jioni jamaa anampitia wanaondoka wote wanarudi zao walipopanga. Demu akamvutia jamaa kazi ya u DJ kufika kule dogo akakuta mazingira tofauti. Kuja kusanuka dah mzigo umeshaibiwa na Tajiri.

Ikabidi itokee varangati, dogo Dar ikawa chungu akarudi zake mkoa. Alimanusura amtie kisu yule msichana wake.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] Kimsingi Dar hapafai hasa kama unamiliki manzi halafu hela huna. Pia ile tabia ya Mazee kumwaga noti ili kupora vibinti vidogo....Ushauri ni kununua Painkiller in Advance ili ukija kupigwa kazi usiumie zaidi.
Si ndiyo kama uchebe mzee [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38], ogopa sana umetoka na demu kijijini ukamleta mjini ahhhh basiiii kakijanjaruka tu sio wako tena
 
TUMEKUSIKIA,TUTAZINGATIA KAMA ITABIDI KUWA HIVYO Baharia M
 
Back
Top Bottom