Background Check
JF-Expert Member
- Jun 28, 2019
- 341
- 498
Nashauri tu broo kabla ya kuchumbia nunua kamera. Utakuja kunishukuru.
Siku hizi, unapiga picha siku ya engagement, then kuna za kabla ya sendoff na kabla ya harusi, kuna za akishika mimba na mimba ikifika miezi tisa, kuna za baada ya kujifungua na usisahau kuna za birthdays na wedding anniversaries, kaka make sure unanua kamera.
Ni ushauri tu.
#MJUZI
Siku hizi, unapiga picha siku ya engagement, then kuna za kabla ya sendoff na kabla ya harusi, kuna za akishika mimba na mimba ikifika miezi tisa, kuna za baada ya kujifungua na usisahau kuna za birthdays na wedding anniversaries, kaka make sure unanua kamera.
Ni ushauri tu.
#MJUZI