Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu

Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Dada wa diaspora alikuja mwaka juzi hapa Tanzania akampenda binti kisha kamuunganisha na kakake aliyeko nje ya nchi. Mambo yote ya kimahusiano yakaazia na kukamilikia kwenye simu.

Mwaka jana mwezi wa 9, mkaka kaja na kufunga ndoa na binti. Wakaenda kula tunda la katikati kwa mara ya kwanza baada ya ndoa. Kumbe dada kazoea kupitiwa na makatapila, matreni na masemi-trela lkn m-diasspora huyu anampitia na Kibajaji.

Kiukweli dada hakukielewa kibajaji, kikawa kinamnyima usingizi na kushindwa kumfikisha kwenye safari ya maraha.

Leo hii dada ametua rasmi nchini toka majuu akitamka bayana kuwa amebwaga manyanga.

Onyo:
Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu hii
 
Dada wa diaspora alikuja mwaka juzi hapa Tanzania akampenda binti kisha kamuunganisha na kakake aliyeko nje ya nchi. Mambo yote ya kimahusiano yakaazia na kukamilikia kwenye simu.

Mwaka jana mwezi wa 9, mkaka kaja na kufunga ndoa na binti. Wakaenda kula tunda la katikati kwa mara ya kwanza baada ya ndoa. Kumbe dada kazoea kupitiwa na makatapila, matreni na masemi-trela lkn m-diasspora huyu anampitia na Kibajaji.

Kiukweli dada hakukielewa kibajaji, kikawa kinamnyima usingizi na kushindwa kumfikisha kwenye safari ya maraha.

Leo hii dada ametua rasmi nchini toka majuu akitamka bayana kuwa amebwaga manyanga.

Onyo:
Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu hii
😱😱 Shocking
 
Dont people talk about these things before tying the knot?
Ask him, how big is it?[emoji1741]
Will you also be conformable if you are asked if you have wide or narrow coochie??

Btw, There is no bigger and smaller cock, it's just matter of how have you been been used?? Ukapitia na wanaume wengi na ukaenda kwenye ndoa ukaanza kufanya Ulinganishi, you are finished.
 
Ni kama ushuke kwenye range au v8 halafu upande bajaji uliyochoka
Mambo hayataenda. Mdada kwanza kupata mavari makubwa tangu akiwa na miaka 16 halafu leo anapandishwa Kibajaji.
 
Dada wa diaspora alikuja mwaka juzi hapa Tanzania akampenda binti kisha kamuunganisha na kakake aliyeko nje ya nchi. Mambo yote ya kimahusiano yakaazia na kukamilikia kwenye simu.

Mwaka jana mwezi wa 9, mkaka kaja na kufunga ndoa na binti. Wakaenda kula tunda la katikati kwa mara ya kwanza baada ya ndoa. Kumbe dada kazoea kupitiwa na makatapila, matreni na masemi-trela lkn m-diasspora huyu anampitia na Kibajaji.

Kiukweli dada hakukielewa kibajaji, kikawa kinamnyima usingizi na kushindwa kumfikisha kwenye safari ya maraha.

Leo hii dada ametua rasmi nchini toka majuu akitamka bayana kuwa amebwaga manyanga.

Onyo:
Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu hii
Baada ya chali kimoko..[emoji23]
 
Hakuna upumbavu kama huo ikiwa ulimwomba Mungu kwa dhati sababu yeye huwa hakosei.

Elewa Mungu huwa hapendi unafki, yani ishi katika uhalisia wa kile unachomwomba kukupatia.

Ukiwa umemwomba Mungu kwa dhati upate jiko jema utapata hivyo hivyo, na kinyume na hapo basi ujue siyo fungu lako, kata mti panda mti ukiendelea kuwa mwaminifu.

Sent from my CPH2387 using JamiiForums mobile app
 
Dada wa diaspora alikuja mwaka juzi hapa Tanzania akampenda binti kisha kamuunganisha na kakake aliyeko nje ya nchi. Mambo yote ya kimahusiano yakaazia na kukamilikia kwenye simu.

Mwaka jana mwezi wa 9, mkaka kaja na kufunga ndoa na binti. Wakaenda kula tunda la katikati kwa mara ya kwanza baada ya ndoa. Kumbe dada kazoea kupitiwa na makatapila, matreni na masemi-trela lkn m-diasspora huyu anampitia na Kibajaji.

Kiukweli dada hakukielewa kibajaji, kikawa kinamnyima usingizi na kushindwa kumfikisha kwenye safari ya maraha.

Leo hii dada ametua rasmi nchini toka majuu akitamka bayana kuwa amebwaga manyanga.

Onyo:
Kabla hujaoa test mitambo kwanza kuiepuka aibu hii
lakini si tulikubaliana wanaume tutafute pesa?
 
Will you also be conformable if you are asked if you have wide or narrow coochie??

Btw, There is no bigger and smaller cock, it's just matter of how have you been been used?? Ukapitia na wanaume wengi na ukaenda kwenye ndoa ukaanza kufanya Ulinganishi, you are finished.
You can literally measure yours with a ruler how would I measure mine?

😂 Umenikumbusha hii video
 
Back
Top Bottom