Lububi
JF-Expert Member
- May 3, 2013
- 2,158
- 3,808
Jirani yako akibuni njia nzuri si mbaya kuiga ilimradi ufikie malengo yako.
Tunakubaliana watoto weng wa kike chini ya 18 wamenona, wanajipamba na wao wanatia watu majaribun kwa tamaa na haraka zao na hatimaye weng wanakutana na mkono wa sheria, kwa aibu na fedheha!
Mbaya zaid tuna mabinti ambao nao wamezaa wameshaharibikiwa kias kwamba wanajiharibia uzao wao. yana mama anamruhusu binti yake kukaa kaa kimitego mitego. Bila kusahau vyakula vinavyowapa miili binti zetu.
Sasa wito wa kuuliza kitambulisho cha binti kabla hujamtongoza umetolewa nchin Kenya. ni muhim sana na hivi wako kitaa kwa likizo. tulipofikia serkali inahitaji sana ulinzi dhidi ya vipepeo wake.
Sijajua inapambana vipi na suala la wavulana wanaobemendwa na mijimama (vibenten)! wote ni wanetu. niwasihi wazazi na walezi kuwakagua bint zao namna wanatoka ndani.
Jamii pia isishabikie mavazi yanayowadhuru wavaaj bila kujua. kamat ya maadili ya kila kitongoj na mtaa iwe kama mzaz au mlez. asanten kwa busara zenu kutoninanga!
Tunakubaliana watoto weng wa kike chini ya 18 wamenona, wanajipamba na wao wanatia watu majaribun kwa tamaa na haraka zao na hatimaye weng wanakutana na mkono wa sheria, kwa aibu na fedheha!
Mbaya zaid tuna mabinti ambao nao wamezaa wameshaharibikiwa kias kwamba wanajiharibia uzao wao. yana mama anamruhusu binti yake kukaa kaa kimitego mitego. Bila kusahau vyakula vinavyowapa miili binti zetu.
Sasa wito wa kuuliza kitambulisho cha binti kabla hujamtongoza umetolewa nchin Kenya. ni muhim sana na hivi wako kitaa kwa likizo. tulipofikia serkali inahitaji sana ulinzi dhidi ya vipepeo wake.
Sijajua inapambana vipi na suala la wavulana wanaobemendwa na mijimama (vibenten)! wote ni wanetu. niwasihi wazazi na walezi kuwakagua bint zao namna wanatoka ndani.
Jamii pia isishabikie mavazi yanayowadhuru wavaaj bila kujua. kamat ya maadili ya kila kitongoj na mtaa iwe kama mzaz au mlez. asanten kwa busara zenu kutoninanga!