Kabla na baada ya ndoa

Kabla na baada ya ndoa

Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Kwanza pole mkuu

Nataka nikwambie vitu vitatu
1.mwanadamu Kila anapoamka mwili wake mzima kwa ujumla unakuwa na mabadaliko physically mpaka akili
"usiishi kwa kukariri nenda na frequency" huenda kabla hamjaoana hamkuwa na watoto, mlikuwa hamsomeshi, (soma alama za nyakati ujue mahitaji yenu ni yapi kwa wakati huu topics zenu ni zipi unaotakiwa kuzisolve Kila siku Maana wahenga wanasema "unapewa cheti ndo unaingia kwenye ndoa kuanza kusoma) marriage is not a birthday party

Wanawake wakishaolewa Ata kama under 30 huwa vitabia vya u-mama zinakuja automatically kuna vitu vinakuwa sio priority kwao. Mfano outing Ata kudombana pia sometimes style zinapungua, Sijui kuitana baby, mara honey zinaishaga tu zenyewe Sio kama wale ambao hawajaolewa

2.ushauri wa pili mpandishe cheo(tafuta mwanamke wa pembeni) Ila kuwa makini Ngono zembe itakuponza. Cheza Namba Sita vizuri(hisia zako zikilalia kwa mwanamke mmoja lazima uumie broo)


3. ushauri wa kipumbavu🤣usifanye Chaputa. Jaribu kutumia asali mbichi.

Ila mwisho, kuna walakini story yako haijabalance angekuwepo na muhusika akatoa malalamiko yake tungejua namna ya kutoa solution nzuri. Kuachana sio solution ya moja kwa moja.
 
Pole sana mkuu. Nenda naye taratibu kushughulikia hiyo past yake.

Mi wa kwangu alikuwa anapenda sana kugomba na lugha ya matusi. Nikajua chanzo cha hiyo tabia yake. Nikawa nafanya kumwelimisha taratibu kila anapogomba au kutoa lugha ya matusi. Huu mwaka wa tatu, amebadilika sana.

Anapobadilika positively usiache kumsifia.

Nilimwoa single mother, tuko na amani sana
Asante kwa ushauri kaka

Ni kweli nimejaribu mara nyingi kumbadilisha ili awe yule ninayemtaka. Mwanzoni alikuwa anaelewa na anajitahidi kubadilika ila kadiri miaka inavyosogea mambo yanazidi kuwa mabaya... Sijui ndiyo kanizoea sana

Ila labda nianze tena kumbadilisha kama zamani maana nilishamkatia tamaa
 
Kwanza pole mkuu

Nataka nikwambie vitu vitatu
1.mwanadamu Kila anapoamka mwili wake mzima kwa ujumla unakuwa na mabadaliko physically mpaka akili
"usiishi kwa kukariri nenda na frequency" huenda kabla hamjaoana hamkuwa na watoto, mlikuwa hamsomeshi, (soma alama za nyakati ujue mahitaji yenu ni yapi kwa wakati huu topics zenu ni zipi unaotakiwa kuzisolve Kila siku Maana wahenga wanasema "unapewa cheti ndo unaingia kwenye ndoa kuanza kusoma) marriage is not a birthday party

Wanawake wakishaolewa Ata kama under 30 huwa vitabia vya u-mama zinakuja automatically kuna vitu vinakuwa sio priority kwao. Mfano outing Ata kudombana pia sometimes style zinapungua, Sijui kuitana baby, mara honey zinaishaga tu zenyewe Sio kama wale ambao hawajaolewa

2.ushauri wa pili mpandishe cheo(tafuta mwanamke wa pembeni) Ila kuwa makini Ngono zembe itakuponza. Cheza Namba Sita vizuri(hisia zako zikilalia kwa mwanamke mmoja lazima uumie broo)


3. ushauri wa kipumbavu[emoji1787]usifanye Chaputa. Jaribu kutumia asali mbichi.

Ila mwisho, kuna walakini story yako haijabalance angekuwepo na muhusika akatoa malalamiko yake tungejua namna ya kutoa solution nzuri. Kuachana sio solution ya moja kwa moja.
Mkuu Asante kwa ushauri wako

Lakini pia upo sahihi kwamba labda angekuwepo ungepata A B C zake pia ila nakuhakikishia hata baada ya kumsikiliza ungebaki na haya ninayokusimulia

Lakini pia bado sijafikia hatua ya kutaka kuachana nae moja kwa moja ila tu nipo njia panda na Asante umenipa pa kuanzia

Nilishawahi fikiri labda niwe na sidechick nikapuuzia kwa kuona kama huyu tu ananipasua kichwa nikiongeza na mwingine je, ila kwa ushauri wako itabidi nijaribu

Nyumba yangu mwenyewe ila kurudi nipumzike hamu inakata. Muda wa kulala hata hamu ya kupanda nilale imepungua sana...
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Akili mnemba
 
Mkuu Asante kwa ushauri wako

Lakini pia upo sahihi kwamba labda angekuwepo ungepata A B C zake pia ila nakuhakikishia hata baada ya kumsikiliza ungebaki na haya ninayokusimulia

Lakini pia bado sijafikia hatua ya kutaka kuachana nae moja kwa moja ila tu nipo njia panda na Asante umenipa pa kuanzia

Nilishawahi fikiri labda niwe na sidechick nikapuuzia kwa kuona kama huyu tu ananipasua kichwa nikiongeza na mwingine je, ila kwa ushauri wako itabidi nijaribu

Nyumba yangu mwenyewe ila kurudi nipumzike hamu inakata. Muda wa kulala hata hamu ya kupanda nilale imepungua sana...
Tafadhali usije mpa tu mimba huyo wa pembeni.
Kama hapo kwenye kiburi na ujuaji ndio usiseme kabisa...
Kwamba n mjuaji sana
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Yatapita vumilia,hakuna kuachana wazo bayasana kuliko.lolote kuachana kika ndoa ina mapito yake hata hilo litapita kikubwa sala na maombi,usikose ibada jumapili.
 
That's mkuu nishapata majibu Maana kwa maelezo yako nimeona mwanamama anapigo za kiutu uzima kidogo Kitendo cha kusema mnaharibu hela kwenda out

Kazi unayo mzee wanawake wanawahi kuwa matured sana kuliko sisi
Dah basi bwana ila umenishauri mambo mema nimekuelewa sana kaka
 
Ndoa ni mfumo wa maisha ambao ushapitwa na wakati, unatakiwa kupitiwa upya na kufanyiwa malekebisho ya kijamii na kisheria.

Waliotuletea haya mambo waliona madhaifu yake ndio maana wakaja na ndoa ya mkataba, prenup n.k sisi bado tumekomaa na ule ule mfumo wa ndoa ya zamani
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Sio single mother tu wanawake ndio walivyo kabla ya ndoa wanajituma ila ukishaingia mkenge ukaoa na akawa na uhakika wa namba huna rangi utaacha kuiona

Mpandishe cheo mkuu utaona milango itakavyo funguka hutaamini
 
Back
Top Bottom