Sio single mother tu wanawake ndio walivyo kabla ya ndoa wanajituma ila ukishaingia mkenge ukaoa na akawa na uhakika wa namba huna rangi utaacha kuiona
Mpandishe cheo mkuu utaona milango itakavyo funguka hutaamini
Hii picha nimeilewa
Ushauri wako unauwaKwanza pole kwa changamoto hiyo ambayo najua inaumiza ukiwaza mwanzo na mlipo sasa hivi. Kipindi hiki ndoa nyingi zipo taabani sana, yani mahututi. Katika watu 10 ukikutana nao wakaamua kusema ukweli basi 8 wapo kwenye shida na 2 hawajui wapi wanaelekea.
Sababu kubwa za haya yote ni mabadiliko ya maisha na shetani kwa ukubwa wake yupo kazini kupitia kaazi zetu tunazozifanya, huko tunakosa muda, kipato kinachoeleweka kukidhi mahitaj yetu ya kila siku.
Usijaribu kipindi hiki kuongelea swala la kuachana kama suluhu na usitegemee njia moja italeta suluhu, mfano ukijifanya kumpa kila kitu anaweza asione umuhimu akazidi, ukimhubiria zaid pia anaweza asikubali, ukichepuka inaweza leta shida zaid. Jaribu kumsikiliza zaid kwakuwa yeye ndio mwenye shida, kila siku muulize kwa upole anataka nini ili akae sawa? ikibidi muombe aende kwao kwa muda mfupi au safiri naye kwenda kwao, akikataa usimlazimishe kwani kuna siku ataona yeye ni tatizo kwakuwa ushamuuliza ujue wapi pa kurekebisha.
Mwisho kuwa na subra sana, binadamu kuna vipindi wanapitia huzuni kubwa sana na ni wao wenyewe wanaweza kuzibadili na sio mwingine, usiwe muongeaji sana mkiwa wote na msikilize sana na toa majibu yanayohitajika kwa wakat huo. usijaribu kumtolea mifano ya watu wengine ili kumrekebisha hiyo hali
Haya maneno huwezi kuyaelewa kama hujaingia kwenye ndoa kimeo... Huwa natamani kuiona expire date kwenye cheti changuNdoa ni mfumo wa maisha ambao ushapitwa na wakati, unatakiwa kupitiwa upya na kufanyiwa malekebisho ya kijamii na kisheria.
Waliotuletea haya mambo waliona madhaifu yake ndio maana wakaja na ndoa ya mkataba, prenup n.k sisi bado tumekomaa na ule ule mfumo wa ndoa ya zamani
Kama hakupi amani ya moyo mteme tuHaya maneno huwezi kuyaelewa kama hujaingia kwenye ndoa kimeo... Huwa natamani kuiona expire date kwenye cheti changu
Nalo neno, kuna wkt lilinijia wazo la kumpandisha cheo ila nikaona kama mambo yatakuwa mengi ila nadhani hili nalo niliangalieSio single mother tu wanawake ndio walivyo kabla ya ndoa wanajituma ila ukishaingia mkenge ukaoa na akawa na uhakika wa namba huna rangi utaacha kuiona
Mpandishe cheo mkuu utaona milango itakavyo funguka hutaamini
Utatuzi ni kutafuta chanzo chake ni nini. Jitahidi kutafuta chanzo cha hayo. Au Kuna mambo ya nyuma alifikiri angesahau yalimuumiza. Haina mbaya wa kudumuNipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu
KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani
Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani
Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito
Nazimiss sana nyakati zile
BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu
Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana
Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa
Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi
Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani
Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.
Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu
Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya
Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Ni vile tu kuta haziwezi kuzungumza ila kwenye ndoa hasa hizi za kisasa kuna vioja vingi sana... Kataa ndoa huwa nawaelewa sana ila ndiyo basi tena nimeshayavagaa naishi kwa 7bu ya watoto na heshima kwa jamiiView attachment 3156921
Hali ya sasa ilivyo inatisha sana, Mungu tusaidie
Backup muhimu utakaaje kizembeKwamba Hana substitute
Watoto, na jicho la wananzengo lakini pia misingi ya kiuchumi nilivyoiseti ndiyo nilizingua zaidi maana ujasiri wa kumfurusha nautolea wapi wkt nae anajiona ni sehemu ya umiliki halali wa vile alivyonikuta navyoPole mkuu kama habadilik na inakutesa achana nae