Kabla na baada ya ndoa

Kabla na baada ya ndoa

Very good, umeoa single Maza.

Siku alipo badilika, ulikomaa nae pia
Kumwelimisha, na una bahati alibadilika. Vizuri.

Shida ni kuoa single Maza wakati unajua kabisa anaweza kukubadilikia, Halafu akisha kubadilikia badala ya kukomaa nae, Mtu kama huyu mleta mada anaanza kulia lia kuomba ushauri.

Wakati tangu mwanzoni alijua kabisa anaona single maza.

Yani mtu akisha amua kuvaa bomu, Ajue kabisa muda wowote likilipuka, Atakomaa nalo.

Na ajue namna ya kukabiliana nalo.

Sio kuanza kuomba ushauri.
Dah nisamehe mkuu kama umekwazika kwa mimi kuomba ushauri wa kukabiliana na hili... Njia ni yetu sote, laiti kila mtu angelijua kikwazo kilichopo mbele yake basi angeahirisha kuendelea na safari. Ndiyo mimi huyo. Wadau wamekuja na hoja za kujenga nawashukuru
 
Asante kwa ushauri kaka

Ni kweli nimejaribu mara nyingi kumbadilisha ili awe yule ninayemtaka. Mwanzoni alikuwa anaelewa na anajitahidi kubadilika ila kadiri miaka inavyosogea mambo yanazidi kuwa mabaya... Sijui ndiyo kanizoea sana

Ila labda nianze tena kumbadilisha kama zamani maana nilishamkatia tamaa
Wacha kulea hiyo KE fukuza mara moja.

Huwezi kumshauri mtu zima aliyeamua kutokubadilika. Huyo ni kufukuza mara moja, Haraka iwezekanavyo.

Mpangiane namna gani mtalea watoto, Kisha kila mtu ashike hamsini zake.
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Una utoto mwingi sana
 
Ujasiri wa kumuoa single mother mnaupata wapi? 99.9% ya hao watu wamejawa na gubu muda wote ndio maana usimuoe wewe pita nae halafu kuoa no, usimwamini single mother hawafai hao watu, akiwa anabembeleza mahusiano , ndoa atajifanya mwema na anachoangalia ni maslahi yake yakikwama kidogo utaiona tabia na Sura yake halisi sasa sio maigizo aliyokua anakufanyia
 
Kabla ya ndoa alikuwa anakuigizia, hii ya baada ya ndoa ndio picha halisi ya jinsi alivyo
Hata mimi nimemwambia hivyohivyo alikuwa anamuigizia ili kumnasa vizuri alivyoona jamaa kaingia kichwakichwa sasa ameamua kuonyesha tabia yake halisi ameona hakuna haja ya kujipa tabu kuigiza tabia ambayo sio yake
 
Hata mimi nimemwambia hivyohivyo alikuwa anamuigizia ili kumnasa vizuri alivyoona jamaa kaingia kichwakichwa sasa ameamua kuonyesha tabia yake halisi ameona hakuna haja ya kujipa tabu kuigiza tabia ambayo sio yake
Kabisa aisee, sasa hapo uamuzi ni wake abaki naye ili akipate cha moto au akimbie ili apate amani ya moyo.
 
Wacha kulea hiyo KE fukuza mara moja.

Huwezi kumshauri mtu zima aliyeamua kutokubadilika. Huyo ni kufukuza mara moja, Haraka iwezekanavyo.

Mpangiane namna gani mtalea watoto, Kisha kila mtu ashike hamsini zake.
Kumfukuza sio tatizo ila tatizo kwenye kumfukuza ni kama tutakuwa tunafukuzana maana si unajua ndoa tena na pia nimefanya mambo mengi nikiwa nae kwa maana ya biashara, nimejenga nikiwa nae na mambo kadha wa kadha so linapokuja suala la break up kuna mambo mengi yataleta ushubwada... Lakini pia ninapofikia hatua ya kutaka kuachana nae kama unavyoshauri basi reaction atakayotoa hutaamini... Kiufupi hataki kuachika na pia kubadilika kitabia kwake inakuwa changamoto... Unless niamue Vinginevyo
 
Usijitese ndugu yangu ukiona moyo hauna amani achana na hiyo ndoa
Mambo ni mengi sana kwenye kuachana ila wacha nikabiliane na hayo mambo mengi mpk mwisho ili niipate hiyo amani
 
Back
Top Bottom