Ni mtu wa wapi huyo mwanamke?Kama hapo kwenye kiburi na ujuaji ndio usiseme kabisa...
Basi bwana kwa huyu kweli nilizingua... Labda wapo ambao hawapo kama huyu wangu ila nahisi asilimia kubwa wanazinguaUjasiri wa kumuoa single mother mnaupata wapi? 99.9% ya hao watu wamejawa na gubu muda wote ndio maana usimuoe wewe pita nae halafu kuoa no, usimwamini single mother hawafai hao watu, akiwa anabembeleza mahusiano , ndoa atajifanya mwema na anachoangalia ni maslahi yake yakikwama kidogo utaiona tabia na Sura yake halisi sasa sio maigizo aliyokua anakufanyia
Mleta mada ishi hapa.Pole mkuu kama habadilik na inakutesa achana nae
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu
KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani
Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani
Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito
Nazimiss sana nyakati zile
BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu
Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana
Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa
Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi
Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani
Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.
Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu
Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya
Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Umeongea point sana, niliamua kubadilika ili kuitafuta amani... Ila kubadilika kwenyewe sasa kunanipa maumivu ya ndani kwa ndani... Niliaamua kuacha kumrekebisha ninapohisi anakosea maana ukali umezidi mno... Kwa sasa hata akisema hii 9 wkt mimi naona ni 6 hata sibishani nae
Past yake : kuna nyakati alipitia magumu sana huko nyuma yakamfanya awe monster kwa muda
Hebu weka picha yake. Inawezekana ndiye nilimshindwa kwa hizo tabia zake. Zinafanana vile ni muda kama unakaribiana. Miaka 6 nyuma hukoNipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu
KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani
Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani
Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito
Nazimiss sana nyakati zile
BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu
Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana
Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa
Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi
Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani
Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.
Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu
Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya
Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
They are very smart. Kikubwa usijaribu kujiaminisha kwamba anachepukaNikisema anatoka nje ya ndoa nitakuwa namuonea. Sijawahi hata kuhisi kama anachepuka kulingana na maisha ya kila siku tunayoishi
Ni kweli wako smart sana ni vile tu huwa tunawachukulia poa kwenye vikao vyetu vya wanaume... Na ndiyo maana tunaambiwa tuishi nao kwa akili sana... Ila huyu nadhani anataka kunizidi akili maana sio kwa ujuaji huo... Mkuu sio poa, nimekaa nayo kifuani muda mrefu ila naona nataka kupasuka, heri wadau humu mnavyotiririka kwangu nafuu maana nimepata na maujanja kupitia uzoefu wenuThey are very smart. Kikubwa usijaribu kujiaminisha kwamba anachepuka
Huyu sizan kama kabadilika....inaonekana kabla ya ndoa alkua anaFake ili jamaa aingie box. Jamaa kashajaa mke karudi kwenye default mode. Hili sio jipya. Ushauri:-atafute namna ya kuishi nae katika uhalisia wake, garama za kuvunja ndoa n kubwa.Umejua kwa nini amebadilika?
Ni vigumu kutatua tatuzo bila kujua chanzo chake.
Pole sana mkuu.
Hapo penye gharama za kuvunja hii ndoa ndipo panaponiumiza kichwa sana na kuendelea kuishi huku moyoni nateketea napo pananipa ugumu ndiyo maana nikaja JF unless niamue kusepa kimyakimya nikaanze upya ugenini... Point ya kuanzia sasaHuyu sizan kama kabadilika....inaonekana kabla ya ndoa alkua anaFake ili jamaa aingie box. Jamaa kashajaa mke karudi kwenye default mode. Hili sio jipya. Ushauri:-atafute namna ya kuishi nae katika uhalisia wake, garama za kuvunja ndoa n kubwa.
Nakazia!Ulifanyaje mkuu. Tupe uzoefu