Dr Matola PhD
JF-Expert Member
- Oct 18, 2010
- 60,050
- 104,466
Sava bien, merci buku.yaani ww ni mfano hai wa SIMP umepigwa matukio lakini bado unaota ipo siku huyo mwanamke unayemuona wa thamani sana kwako atakurudia ww fala mmoja. My bro wake the f*ck up!!!!
Mwanamke wa kukuonea huruma ni mamako tu acha kuishi maisha ya kitamthilia za kifilipino. No shit like true luv. Game ya mapenzi ni mchezo wa kuviziana hii ni VITA KAMA VITA NYINGINE. Get up chukua silaa ingia vitana tawanya maadui kadri uwezavyo ishi maisha ya furaha, f*ck any woman acha kulialia hapa no woman atakuonea huruma unless unataka kupigwa tukio lingine takatifu.
Achana na ulevi jikite kutumia muda wa ziada kufanya vitu vya faida kama kufanya mazoezi hii itakusaidia kujiweka fiti kimwili na kimawazo.
Hakikisha unachukua namba za wanawake hata tatu kwa siku ili uwazoee. Hii technique itakusaidia mdomo kuwa mwepesi na kuwazoea wanawake. Jitaidi uwe unachukua namba sehemu tofauti tofauti kokote pale ww chukua namba akikataa achana nae usilazimishe.
Baada ya muda utajifunza vitu vingi kuhusu wanawake na biashara ya ngono iliyojificha kwenye kitu wanaita mapenzi.
Umepiga kwenye mfupa.