Kabla na baada ya ndoa

Kabla na baada ya ndoa

yaani ww ni mfano hai wa SIMP umepigwa matukio lakini bado unaota ipo siku huyo mwanamke unayemuona wa thamani sana kwako atakurudia ww fala mmoja. My bro wake the f*ck up!!!!

Mwanamke wa kukuonea huruma ni mamako tu acha kuishi maisha ya kitamthilia za kifilipino. No shit like true luv. Game ya mapenzi ni mchezo wa kuviziana hii ni VITA KAMA VITA NYINGINE. Get up chukua silaa ingia vitana tawanya maadui kadri uwezavyo ishi maisha ya furaha, f*ck any woman acha kulialia hapa no woman atakuonea huruma unless unataka kupigwa tukio lingine takatifu.

Achana na ulevi jikite kutumia muda wa ziada kufanya vitu vya faida kama kufanya mazoezi hii itakusaidia kujiweka fiti kimwili na kimawazo.

Hakikisha unachukua namba za wanawake hata tatu kwa siku ili uwazoee. Hii technique itakusaidia mdomo kuwa mwepesi na kuwazoea wanawake. Jitaidi uwe unachukua namba sehemu tofauti tofauti kokote pale ww chukua namba akikataa achana nae usilazimishe.

Baada ya muda utajifunza vitu vingi kuhusu wanawake na biashara ya ngono iliyojificha kwenye kitu wanaita mapenzi.
Sava bien, merci buku.

Umepiga kwenye mfupa.
 
Ujumbe umepenya mkuu sikupingi... Hata sijajisikia vibaya zaidi nimeona nastahili fedheha kwa kuvumilia upuuuzi kwa muda mrefu ili kufurahisha watu na watoto
Wanaume wengi wanakufa nsababu ya stress na depression kwajitakia.Hivi watoto ambao mama yao aliwabeba tumboni miezi tisa tisa haoni uchungu na kupitia uchungu huo afanye maamuzi ya busara ya kutulia na kulea familia ila ndio kwanza anawabwaga na kuwatelekeza ww huogopi kuwa kuna namna???!!!

Swala la kuendelea kuteseka kisa watoto huo ni uzwazwa mwanaume kazi yetu ni moja tu KUGAWA MBEGU na ndio maana "mwanaume hazeeki",,,umagaribi ndo huu umeleta mambo ya hovyo kiasi kwamba wanaume wamekuzwa na kupandikizwa mbegu za kuwafanya wawesoftsoft ili kuharibu taasisi ya ndoa na mwshowe jamii kuvurugika.

Kama mwanamke hakusikilizi ujue hata hao watoto aliowazaa hawatakusikiliza na kulingana na NATURE nyoka ni nyoka!!! wakiwa wakubwa wataungana na mama yao na watakufanya kitu mbaya ukae ukijutia maisha yako yote.

Wanaume jifunzeni kujiweka sisi mbele hii dunia haina huruma na wanaume.Jiweke kipaumbele and be selfish to the maximum for ur safety.

Ukicheza haya maisha utakuwa mfano kuwa ww ni SIMP na ubaya ni kwamba utatumika kama daraja na mwisho utakufa na kusahaulika haraka sana.

Kama umeacha mke mwache na mitoto yake. Asiyesikia aendelee kusubir time ya kupigwa tukio aje hapa tumpe pole!!!!
 
Mwenyewe napitia hayo mkuu. Wa nje wanaona tupo fresh, kumbe ndani full kuviziana kama unavosema. Kwa upande wangu mie nadhani ndio nimekuwa gundi ya ndoa, siku nikichoka itadondoka kama jengo lililopigwa bomu
Na kama nitakuwa sahihi ni kwamba asilimia kubwa ya sisi wanaume huwa ni gundi isiyoonekana kirahisi mpk kufanya ndoa inaendelea. Ni vile tu jamii imeamua kumtazama mwanamke zaidi ila pole yetu sote tunaopitia changamoto kama hizo na kuendelea kupambana. Wewe unasema ukishachoka, safi, ila mie nishachoka ndiyo maana nimelileta jukwaani na sasa nimeanza kuchukua hatua
 
Wanaume wengi wanakufa nsababu ya stress na depression kwajitakia.Hivi watoto ambao mama yao aliwabeba tumboni miezi tisa tisa haoni uchungu na kupitia uchungu huo afanye maamuzi ya busara ya kutulia na kulea familia ila ndio kwanza anawabwaga na kuwatelekeza ww huogopi kuwa kuna namna???!!!

Swala la kuendelea kuteseka kisa watoto huo ni uzwazwa mwanaume kazi yetu ni moja tu KUGAWA MBEGU na ndio maana "mwanaume hazeeki",,,umagaribi ndo huu umeleta mambo ya hovyo kiasi kwamba wanaume wamekuzwa na kupandikizwa mbegu za kuwafanya wawesoftsoft ili kuharibu taasisi ya ndoa na mwshowe jamii kuvurugika.

Kama mwanamke hakusikilizi ujue hata hao watoto aliowazaa hawatakusikiliza na kulingana na NATURE nyoka ni nyoka!!! wakiwa wakubwa wataungana na mama yao na watakufanya kitu mbaya ukae ukijutia maisha yako yote.

Wanaume jifunzeni kujiweka sisi mbele hii dunia haina huruma na wanaume.Jiweke kipaumbele and be selfish to the maximum for ur safety.

Ukicheza haya maisha utakuwa mfano kuwa ww ni SIMP na ubaya ni kwamba utatumika kama daraja na mwisho utakufa na kusahaulika haraka sana.

Kama umeacha mke mwache na mitoto yake. Asiyesikia aendelee kusubir time ya kupigwa tukio aje hapa tumpe pole!!!!
Duh we mwamba ni balaa, hukopeshi aisee

Unapiga spana hatari... Nimekukubali... Nadhani kwenye kikao cha wanaume wewe utakuwa mwenyekiti sio bure[emoji23][emoji23][emoji23]

Pamoja sana familia
 
Wanaume wengi wanakufa nsababu ya stress na depression kwajitakia.Hivi watoto ambao mama yao aliwabeba tumboni miezi tisa tisa haoni uchungu na kupitia uchungu huo afanye maamuzi ya busara ya kutulia na kulea familia ila ndio kwanza anawabwaga na kuwatelekeza ww huogopi kuwa kuna namna???!!!

Swala la kuendelea kuteseka kisa watoto huo ni uzwazwa mwanaume kazi yetu ni moja tu KUGAWA MBEGU na ndio maana "mwanaume hazeeki",,,umagaribi ndo huu umeleta mambo ya hovyo kiasi kwamba wanaume wamekuzwa na kupandikizwa mbegu za kuwafanya wawesoftsoft ili kuharibu taasisi ya ndoa na mwshowe jamii kuvurugika.

Kama mwanamke hakusikilizi ujue hata hao watoto aliowazaa hawatakusikiliza na kulingana na NATURE nyoka ni nyoka!!! wakiwa wakubwa wataungana na mama yao na watakufanya kitu mbaya ukae ukijutia maisha yako yote.

Wanaume jifunzeni kujiweka sisi mbele hii dunia haina huruma na wanaume.Jiweke kipaumbele and be selfish to the maximum for ur safety.

Ukicheza haya maisha utakuwa mfano kuwa ww ni SIMP na ubaya ni kwamba utatumika kama daraja na mwisho utakufa na kusahaulika haraka sana.

Kama umeacha mke mwache na mitoto yake. Asiyesikia aendelee kusubir time ya kupigwa tukio aje hapa tumpe pole!!!!
Liverpool VPN tunaomba uresign hiyo nafaSi mwamba huyu hapa anatosha kua Rais mpya wa kataa ndoa, wala hamung'unyi maneno.
 
Mkuu, usisahau kuna single mothers wengine wanajitambua.

Huwezi kuwahukumu single mothers wote kwa makosa ya baadhi ya single mothers.
Don't ever repeat the same mistake, unachoptia nmepta uzur ckuzaa nae , na nimepga chin this week, single mother wako very manipulated be aware, pia wako demage na past , at least kam alizaa akiw shule/ hakuw kuish na mwanaume
 
Don't ever repeat the same mistake, unachoptia nmepta uzur ckuzaa nae , na nimepga chin this week, single mother wako very manipulated be aware, pia wako demage na past , at least kam alizaa akiw shule/ hakuw kuish na mwanaume
[emoji419][emoji419][emoji419][emoji419][emoji419]
 
All single mother kipnd ndoa zao zmefeli huingia mtaani kikaz kwahyo huw ruz na hukutan na kila aina ya mwanaume huw wanafanya mapenz na yoyote kiurahis at least kujarbu kupat lilifu na ndio maan utakuta kwa mwanzano huwez kuulza kuomba ngono atakup utachapat san unawez kuzan ametoshek kumbe bado na unapew style za na K zao n tamuu san na wanajua jins ya kuchez na akil zetu , ata 1000 ukimpa utackia aksnte Baba,

I'm sorry guys
 
Udhaifu wa mwanaume kwa mwanamke ni Kuheshimiwa .

Wanawake wengi washalijua hili na wanatumia fursa hii kuteka hisia za wanaume wengi [Angalia mlivyoanza mwanzo Kasingle mom kalivyokua kana kuheshimu kila sekta]

Mwanaume srong tu ndiye anaeweza kuzielewa hisia za mwanamke kama ni Fake au Anamaanisha..

Mwisho wa siku uwezo wako wa kusoma hisia zake kabla ndio utaamua ndoa idumu kiasi gani .

Hongera sana mkuu, Umejifunza sasa .
Unajua kwenye haya maisha ni lazima uchague watu wa kukushauri, hususani watu wazima ambao unaona hawa wanafaa hivyo watakutunzia siri yako na watakushauri vyema. Wawe kama watatu hivi!

Hali yoyote au changamoto yoyote utakayopitia na mchumba wako iwasilishe kwao na uwaelezee pasipo kuficha kitu!

Kuna mambo utayafahamu kupitia kwao mapema sana! Watakuambia kabisa huyu mwanamke ana utoto mwingi atakusumbua! Huyu hakufai n.k

Muhimu ukubali kushauriwa! Ukijifanya mjuzi na kwenda mwenyewe utaangukia pua na mwishowe maumivu.
 
Unajua kwenye haya maisha ni lazima uchague watu wa kukushauri, hususani watu wazima ambao unaona hawa wanafaa hivyo watakutunzia siri yako na watakushauri vyema. Wawe kama watatu hivi!

Hali yoyote au changamoto yoyote utakayopitia na mchumba wako iwasilishe kwao na uwaelezee pasipo kuficha kitu!

Kuna mambo utayafahamu kupitia kwao mapema sana! Watakuambia kabisa huyu mwanamke ana utoto mwingi atakusumbua! Huyu hakufai n.k

Muhimu ukubali kushauriwa! Ukijifanya mjuzi na kwenda mwenyewe utaangukia pua na mwishowe maumivu.
Sahihi mkuu, Mentor ni muhimu sana kwenye kila nyanja Kiuchumi, Kiafya, kimahusiano ....
 
Nipo kwenye ndoa huu mwaka wa sita na nilioa single mother ila kwa yanayoendelea najikuta nipo kwenye wakati mgumu sana wa kimaamuzi juu ya mustakabari wa ndoa yangu

KABLA YA NDOA
Mwanamke alikuwa ananielewa sana, ananisikiliza, ananiheshimu, ni mwepesi kusema samahani

Mwepesi sana kutoka nae out na ni kama alikuwa anaenjoy kiasi flani

Kitandani hakuwa haba, kujituma kama kote mpaka nakuwa nammiss kila nikiwa mbali nae, tulikuwa na uwezo kugegedana popote pale tunapojihisi tupo peke etu, iwe ofisini, garini, dkn, jikoni, sebuleni fainali chumbani ndiyo balaa zito

Nazimiss sana nyakati zile

BAADA YA NDOA
Mwanzo haukuwa mbaya sana wala mzuri sana ila ni vile unajipa moyo kwamba yanapita tu

Kusema samahani ni mpaka tuwe tunakaribia kuachana

Nikimuomba tutoke out haoneshi kufurahia tena kama zamani lakini pia hata akikubali mpo maeneo lakini akili yake ipo nyumbani, ni kama anatoka kuniridhisha mimi na haachi kulalamika kwamba pesa inaharibika, wakati mara nyingi anasisitiza tutume hela kwa ndugu zake na tunatuma na huwa halalamiki kwamba tunaharibu pesa

Penzi ni kama nimesusiwa(D2) nikimuuliza mbona hunyumbuliki au kujituma kama enzi zile anasema hana mazoezi. Na mimi nikimpotezea anaanza kulalamika eti sina hisia nae. Kiufupi anataka mie nifanye kila kitu(inaboa). Kiukweli kuna muda nakuwa na hamu sana ila kumfikia ndiyo nashindwa mpk natamani kujichukulia sheria mkononi

Nimeshaongea nae sana kuhusu tofauti zetu ila hakuna linalobadilika moja kwa moja. Kwa sasa namezea japo naumia ndani kwa ndani

Kitu kingine nimekuja kujua kwamba ni mkali sana hasa kwa watoto kiasi mpaka najisikia vibaya. Kwake yeye hakuna mtu anayejua zaidi yake.

Najikuta mpweke zaidi kuliko nilivyokuwa mpweke kabla sijaoa. Na kabla sijaoa vita yangu kubwa ilikuwa kujiweka vizuri kiuchumi ila baada ya ndoa nahisi nimejiongezea vita nyingine tena kubwa kuliko ile niliyokuwa napigana nayo kwa kipindi kirefu

Nikisema bado nampenda nitakuwa ninaudanganya moyo wangu unless naendelea tu kuishi nae kwa sababu ya watoto na heshima niliyojijengea kwa jamii ila nawaza mpaka lini nitaishi maisha haya

Taasisi ya ndoa ni ya wachache sisi wengine tumedandia tu na ndiyo zinatutafuna. NACHOMOKAJE HAPA? View attachment 3156830
Pole sana kwa yaliyokukuta!Kimsingi ndoa nyingi kwa sasa ni changamoto!Napenda sana nikupongeze kwani ni wanaume wachache sana wanaosema hasa wanapoona tatizo!Kwa ufupi wa maisha yetu wanaume,NI HERI UKOSEE KUCHAGUA NGUO YA KUVAA,KULIKO KUKOSEA KUOA!!Kabla sijakushauri nini cha kufanya ningependa nijue kutoka kwako,1)Usalama wako ukoje hapo nyumbani?Kihisia ukoje,kumwelekea?Unavyomuona mwenzako,je kuna dalili zozote kuwa anaweza kubadili tabia zake?Huyo mwanamke ulimtoa kwenye mazingira gani?Alilelewa na baba na mama?Kama alilelewa na mama hadi anakuja kwako,mama mkwe wako ana tabia gani kumwelekea baba mkwe wako?
 
Sasa hapo usingle maza umeongiaje,hayo kwenye ndoa ni kawaida,ndoa nyingi zilishajifia watu wamebaki kulea tu watoto
Na kitu kingine cha kuelewa uchumba ni tofauti na ndoa,huwezi ukawa mama majukumu ya nyumbani yanakusubiri alafu eti unaanza kuzunguka viwanja na kufanya mapenzi sebuleni
 
Don't ever repeat the same mistake, unachoptia nmepta uzur ckuzaa nae , na nimepga chin this week, single mother wako very manipulated be aware, pia wako demage na past , at least kam alizaa akiw shule/ hakuw kuish na mwanaume
Alipata mimba akiwa chuon na jamaa akamkimbia. Mtoto ana miaka 9.
 
Unachoongea uko sahihi, kumbadilisha mtu mzima tena akiwa kakuzidi umri ni kazi ngumu sana sio kwamba haiwezekani. Nadhani kila ninapojaribu kumfanya awe mke yule niliyekuwa nae kabla ya ndoa anahisi kama nishamchoka (sina hakika kama anawaza hivyo)

Ukali kwa watoto au kwa wengine nadhani ni tabia yake ya asili au ya kurithi maana kuna baadhi ya ndugu zake akiwemo mshua wake nimekuja kuwafahamu ni wakali balaa. Hasira zake sometimes zinanitoa sana kwenye reli, anapaniki vitu Vidogo sana anafanya vionekane vikubwa... Hata mabinti wa kazi tumeshindwa kuishi nao kisa hizo hasira zake
Pole sana, msaidie hapo kwenye hasira kwani yawezekana ni kitu ambacho hata yeye hakipendi na namna ya kumsaidia ni kwa vitendo aone na kujifunza kwako.. kuhusu kumbadilisha awe mke unayempenda wewe nenda naye taratibu, usimchoke itafika wakati atakuelewa tu pia ungejua yeye anachohitaji haswa ni nini.

Kila la heri.
 
Jitahidi Kaka ,natamani nikusimulie mengi ila haitosaidia ,pambana uchomoke ,mwenzio nilichelewa kufanya hayo ,Sasa nipo nilichobakiza ni ajira tu ila watoto nilishaambiwa si wangu na Sasa wao wamenikana Mimi si baba yao .

Nishakaa jela sikumuona mwanangu Wala huyo mwanamke bad enough natoka Mali zikapigwa mgao ,kikubwa akapewa yeye kidogo ,nikapewa Mimi .

Haikuwa rahisi kukubali ila ujasiri na kukubali kuanza upya Sasa ninaishi Kaka ,ajira naendelea ,maisha na kidogo nilichoachiwa nakizingatia ili kesho isiwe ngumu kwangu .

Ila sio kwamba siamini kwenye mahusiano ,hapana bado naaamini wapo wadada wanajua nini maana ya ndoa na mahusiano hivyo bado najua ipo siku nitampata wa kuendana naye ,though sio Sasa maana nitakuwa muongo kusema simpendi tena mama watoto .

Bado nampenda yule dada na ninaamini alipitiwa ,Kuna muda narudisha muda nyuma na kuamini ipo siku atarudi japo ameshaolewa tena ila kwenye uhalisia ni ngumu .

Nilijaribu kuomba suluhu japo anisamehe anipe hata mtoto mmoja ila haikuwezekana zaidi ya kutishiwa kupelekwa polisi au kushitakiwa ofisini kwangu nikawa mpole .

Bro unapitia magumu ila bado hayajawa kiasi Cha kukupa stress hivyo yasolve mapema kabla hayajawa Kama yangu ,inauma ,uanaume ni kazi ,ni mateso ni tabu ila tumeumbwa kuvumilia wacha tuvumilie na maisha yawndelee.

Stay strong ,anza Sasa kujipanga ,usimdhuru Wala kuwaza kumdhuru utaiharibu kesho yako
Ona fala hili 🤣🤣🤣

Cc Extrovert
 
Back
Top Bottom