Kabla 'sijamjibu' David Mwakalebela (Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC) namwomba anijibu haya upesi

Kabla 'sijamjibu' David Mwakalebela (Makamu Mwenyekiti wa Yanga SC) namwomba anijibu haya upesi

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Je, anayoiongoza Yeye ni Young Africans kama aliyokuwa akiitaja leo au ni Yanga African au ni Yanga Sports Club au Dar es Salaam Young African?

Kisha akishamaliza 'Kunijibu' hili namwomba pia anipe tofauti kati ya neno 'Kintu' alilokuwa akilitaja katika 'Press' yake ya leo na neno 'Kitu' ambalo hata BAKITA wanalitambua na linatumika na Watanzania wengi. Najua huwa ananisoma ajibu sasa.
 
moooo.jpg
 
Sheria mpaka ukweli upatikane..katolewa kijijini Ghana sio Accra...Nenda Facebook ya Bin Zubery ameuweka mkataba viongozi wa Simba hawajaweka hata majina yao nini sahihi..litakufa jitu
Asa maswala ya alikotoka yanaingiaje hapa?
Mkataba umeiona Facebook, una uhakika ndio wenyewe?
Ko huo mkataba ukiwa na kasoro unahalalisha Anakuwa Mali Yenu?
Usiwe unajiabisha, mkuu we Unaijua mikataba ya wachezaji inavyotakiwa kuwa?
Au ndo unafuata tu upepo?
 
Mkataba wa Yanga na Morrison Moja ya kitu walicho dai Tff kwamba ni mapungufu ni sahihi za viongozi wa Yanga kukosekana. Sasa ata kwa ao Simba mkataba hauna sahihi ya kiongozi wa Simba. Yanga wanacho ona uyo mchezaji wamepolwa na Tff nawao hawatokubali kamwe.
 
Nani anajidhalilisha kama sio Yanga?
Mtu hawataki kawakataa, TFF imethibitisha lakini bado tu mpo
Yanga haina haja na Morison. Yanga ndiyo imempa exposure, kwa hiyo akiondoka lazima Yanga ipewe mshiko.
Mbona Makambo aliwapa Yanga mshiko wa maana kutoka Horoya?
 
Mnalalamika nyie?
Kama mchezaji haridhiki ndiye mwenye haki ya kulalamika.

Kweli nyani ni nyani tu
Mkataba wa Yanga na Morrison Moja ya kitu walicho dai Tff kwamba ni mapungufu ni sahihi za viongozi wa Yanga kukosekana. Sasa ata kwa ao Simba mkataba hauna sahihi ya kiongozi wa Simba. Yanga wanacho ona uyo mchezaji wamepolwa na Tff nawao hawatokubali kamwe.
 
Kutokana na Yanga kukiri jana kuwa walifoji mkataba wa Morrisson msimu uliopita ni dhahiri wanatakiwa kunyang'anywa pointi na hii itapeleke kuweza kushushwa daraja. Ile kamati ililiona hili ila walifichaficha.. Sasa Yanga wanataka Simba akose pointi zake 10 huku wao wakisahau yatakayowakuta.
 
Back
Top Bottom