GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
FIFA yanyokoFIFA waifungie Simba kwa kumchezesha mchezaji wa Yanga
Nani anajidhalilisha kama sio Yanga?Mikia hivi huyu zwazwa Morrison ana kitu gani special hadi kujidhalilisha ..au kuwafungeni kidude
Sheria mpaka ukweli upatikane..katolewa kijijini Ghana sio Accra...Nenda Facebook ya Bin Zubery ameuweka mkataba viongozi wa Simba hawajaweka hata majina yao nini sahihi..litakufa jituNani anajidhalilisha kama sio Yanga?
Mtu hawataki kawakataa, TFF imethibitisha lakini bado tu mpo
Asa maswala ya alikotoka yanaingiaje hapa?Sheria mpaka ukweli upatikane..katolewa kijijini Ghana sio Accra...Nenda Facebook ya Bin Zubery ameuweka mkataba viongozi wa Simba hawajaweka hata majina yao nini sahihi..litakufa jitu
Kitu gani kinakuamisha kua huo ni mkataba alio sign BM3
Yanga haina haja na Morison. Yanga ndiyo imempa exposure, kwa hiyo akiondoka lazima Yanga ipewe mshiko.Nani anajidhalilisha kama sio Yanga?
Mtu hawataki kawakataa, TFF imethibitisha lakini bado tu mpo
Mkataba wa Yanga na Morrison Moja ya kitu walicho dai Tff kwamba ni mapungufu ni sahihi za viongozi wa Yanga kukosekana. Sasa ata kwa ao Simba mkataba hauna sahihi ya kiongozi wa Simba. Yanga wanacho ona uyo mchezaji wamepolwa na Tff nawao hawatokubali kamwe.
Kila suala lina muktadha wake.Yanga mnaenda CAS halafu Leo mmerudi Tff tena,kweli ni nyani
Kuandika kwa lugha ya Kiswahili tu kwako ni shida. Daah yule coach hakukosea.Mikia hivi huyu zwazwa Morrison ana kitu gani special hadi kujidhalilisha ..au kuwafungeni kidude
Duh! Kwani hukupata neno jingine la kuandika?FIFA yanyoko