Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Poor Brain

JF-Expert Member
Joined
Jul 5, 2019
Posts
19,644
Reaction score
40,546
Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Jibu haya maswali au angalia majibu ya haya maswali kutoka kwa wachangiaji alafu ndo ujiulize je unaweza biashara au upo hapa kufata ushauri wa motivation speaker

Kutoka kwa Benny Haraba



1.. je unakipaji chochote
2.. je una utaalamu wowote
3. Je una wazo la biashara
4. Je una majukumu ya kila siku
5. Je ni kijana mwenye nguvu, (are you drive and energy)
6. Je umewahi kufanya biashara yoyote jadili
7. Je uko tayari kukosolewa
8. Unaweza kutunza mahesabu ya kila siku
8. Je unaweza kuwatambua wateja wako taraji
9. Je unaweza kuwatambua wapinzani wako nguvu zao na mapungufu yao, pamoja na wateja wao, hao wateja wao wanakotoka

10. Ainisha nguvu zako na mapungufu yako kwa biashara unayotaka kifanya

11. Zitaje tabia 10 za wajasiriamali waliofanikiwa
12. Je unazijua sababu kwanini biashara zinakufa, zitaje
13. Kama unajua kwamba biashara zinakufa kwanini wewe huogopi kufanya biashara
14. Je unaweza kufanya utafiti wa masoko?
15 zitaje mbinu utakazo zitumia kujua kama wazo lako la biashara linaweza likawa halisia

Baada ya kujibu maswali haya tutaendelea na mpango mwingine
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Vishu Mtata
Tumwesige senior
Cassnzoba
Mkulu wawe
Kalaga Baho Nongwa
Pekejeng
Mzee ngalauka
hazard Don
Thecoder ***
ngara23
MAKONGOLOSII
Lamomy
 
Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Jibu haya maswali au angalia majibu ya haya maswali kutoka kwa wachangiaji alafu ndo ujiulize je unaweza biashara au upo hapa kufata ushauri wa motivation speaker

Kutoka kwa Benny Haraba



1.. je unakipaji chochote
2.. je una utaalamu wowote
3. Je una wazo la biashara
4. Je una majukumu ya kila siku
5. Je ni kijana mwenye nguvu, (are you drive and energy)
6. Je umewahi kufanya biashara yoyote jadili
7. Je uko tayari kukosolewa
8. Unaweza kutunza mahesabu ya kila siku
8. Je unaweza kuwatambua wateja wako taraji
9. Je unaweza kuwatambua wapinzani wako nguvu zao na mapungufu yao, pamoja na wateja wao, hao wateja wao wanakotoka

10. Ainisha nguvu zako na mapungufu yako kwa biashara unayotaka kifanya

11. Zitaje tabia 10 za wajasiriamali waliofanikiwa
12. Je unazijua sababu kwanini biashara zinakufa, zitaje
13. Kama unajua kwamba biashara zinakufa kwanini wewe huogopi kufanya biashara
14. Je unaweza kufanya utafiti wa masoko?
15 zitaje mbinu utakazo zitumia kujua kama wazo lako la biashara linaweza likawa halisia

Baada ya kujibu maswali haya tutaendelea na mpango mwingine
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Vishu Mtata
Tumwesige senior
Cassnzoba
Mkulu wawe
Kalaga Baho Nongwa
Pekejeng
Mzee ngalauka
hazard Don
Thecoder ***
ngara23
MAKONGOLOSII
Lamomy
Usimtishe mzee, mambo ya vitabu hayaaply sana huku kwa ground, akianza biashara yyte anayodhani anaweza ndo mwanzo wa ups & down ili kutoboa.

Laki 4 sio pesa kubwa na sio ndogo sana ya kushindwa kuanzisha chochote, akikaa kusubir ifike M na hana ishu ya kufanya ataitumia mwosho aishie kujilaumu tu.

Lakini pia asijitishe sana japo tahadhari ni muhimu. Ukisita sita kuanza hutoanza, hata hiyo M utaiona ndogo.
 
M
Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Jibu haya maswali au angalia majibu ya haya maswali kutoka kwa wachangiaji alafu ndo ujiulize je unaweza biashara au upo hapa kufata ushauri wa motivation speaker

Kutoka kwa Benny Haraba



1.. je unakipaji chochote
2.. je una utaalamu wowote
3. Je una wazo la biashara
4. Je una majukumu ya kila siku
5. Je ni kijana mwenye nguvu, (are you drive and energy)
6. Je umewahi kufanya biashara yoyote jadili
7. Je uko tayari kukosolewa
8. Unaweza kutunza mahesabu ya kila siku
8. Je unaweza kuwatambua wateja wako taraji
9. Je unaweza kuwatambua wapinzani wako nguvu zao na mapungufu yao, pamoja na wateja wao, hao wateja wao wanakotoka

10. Ainisha nguvu zako na mapungufu yako kwa biashara unayotaka kifanya

11. Zitaje tabia 10 za wajasiriamali waliofanikiwa
12. Je unazijua sababu kwanini biashara zinakufa, zitaje
13. Kama unajua kwamba biashara zinakufa kwanini wewe huogopi kufanya biashara
14. Je unaweza kufanya utafiti wa masoko?
15 zitaje mbinu utakazo zitumia kujua kama wazo lako la biashara linaweza likawa halisia

Baada ya kujibu maswali haya tutaendelea na mpango mwingine
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Vishu Mtata
Tumwesige senior
Cassnzoba
Mkulu wawe
Kalaga Baho Nongwa
Pekejeng
Mzee ngalauka
hazard Don
Thecoder ***
ngara23
MAKONGOLOSII
Lamomy
Watu wengi wanapenda kuwasikiliza motivation speakers kuliko kupata elimu ya ujasiriamali, ama maelezo msingi ambayo hakika husababisha kupiga hatua
 
Usimtishe mzee, mambo ya vitabu hayaaply sana huku kwa ground, akianza biashara yyte anayodhani anaweza ndo mwanzo wa ups & down ili kutoboa.

Laki 4 sio pesa kubwa na sio ndogo sana ya kushindwa kuanzisha chochote, akikaa kusubir ifike M na hana ishu ya kufanya ataitumia mwosho aishie kujilaumu tu.

Lakini pia asijitishe sana japo tahadhari ni muhimu. Ukisita sita kuanza hutoanza, hata hiyo M utaiona ndogo.
Siyo kweli, anatakiwa aanze biashara kwa hicho alicho nacho mkononi, lakini kwa kupewa misingi ya mawazo, (fikra chanya),

Practical skills vs motivation speakers which is better

Start where you are do not pretend to be someone else, what you need is practical skills,

Unacho hitaji ni fikra chanya za kukuwezesha kuanzisha ama kuendeleza biashara na hizo fikra chanya watu wanazo mmoja wa hao watu ni mimi niulize chochote kuhusu ujasiriamali
 
Usimtishe mzee, mambo ya vitabu hayaaply sana huku kwa ground, akianza biashara yyte anayodhani anaweza ndo mwanzo wa ups & down ili kutoboa.

Laki 4 sio pesa kubwa na sio ndogo sana ya kushindwa kuanzisha chochote, akikaa kusubir ifike M na hana ishu ya kufanya ataitumia mwosho aishie kujilaumu tu.

Lakini pia asijitishe sana japo tahadhari ni muhimu. Ukisita sita kuanza hutoanza, hata hiyo M utaiona ndogo.
Vishu ukiacha mambo ya kujirekodi sijui nini kingine unajua we jamaa 😀😀😀😀
 
Silazimishi mtu kuniamini
Maisha ni wewe mwenyewe kuamua
Wapo watu walianza biashara na mitaji ya Hadi billions kadhaa na hawakutoboa
Maisha ni jinsi unavopambana nayo mwenyewe na kuyachukulia
Ila muhimu katika maisha Mimi huwa sikubali kuwa positive.as long Una afya pigania unachokitaka.hata siku moja mitaji huwa haitoshi.
Tumia ulichonacho mkononi
Hata wakati Wana wa Israel walipokwama kwenye bahari ya sham fimbo ya Musa mkononi kwa kupitia uwezo WA Mungu ndo iliyowavusha kwa kupasua bahari
Kwaiyo hela yoyooote uliyonayo mwambie Mungu kwa elfu kumi hii naomba uondoe umaskini maishani kwangu nikawe tajiri toka nje uza hata pipi
Sitochangia tena ushauri WA biashara humu
Bye
 
Silazimishi mtu kuniamini
Maisha ni wewe mwenyewe kuamua
Wapo watu walianza biashara na mitaji ya Hadi billions kadhaa na hawakutoboa
Maisha ni jinsi unavopambana nayo mwenyewe na kuyachukulia
Ila muhimu katika maisha Mimi huwa sikubali kuwa positive.as long Una afya pigania unachokitaka.hata siku moja mitaji huwa haitoshi.
Tumia ulichonacho mkononi
Hata wakati Wana wa Israel walipokwama kwenye bahari ya sham fimbo ya Musa mkononi kwa kupitia uwezo WA Mungu ndo iliyowavusha kwa kupasua bahari
Kwaiyo hela yoyooote uliyonayo mwambie Mungu kwa elfu kumi hii naomba uondoe umaskini maishani kwangu nikawe tajiri toka nje uza hata pipi
Sitochangia tena ushauri WA biashara humu
Bye
Kuanzisha biashara mtaji siyo tatizo na siyo jambo la msingi
Vile vile unaweza ukawa na mtaji, (pesa), kama huna mpango wa biashara pesa zitaishia kutatua matizo yasiyo na msingi
 
Kuanzisha biashara mtaji siyo tatizo na siyo jambo la msingi
Vile vile unaweza ukawa na mtaji, (pesa), kama huna mpango wa biashara pesa zitaishia kutatua matizo yasiyo na msingi
Fact....
Hapa mkuu umemaliza kila kitu aiseeee..
 
Silazimishi mtu kuniamini
Maisha ni wewe mwenyewe kuamua
Wapo watu walianza biashara na mitaji ya Hadi billions kadhaa na hawakutoboa
Maisha ni jinsi unavopambana nayo mwenyewe na kuyachukulia
Ila muhimu katika maisha Mimi huwa sikubali kuwa positive.as long Una afya pigania unachokitaka.hata siku moja mitaji huwa haitoshi.
Tumia ulichonacho mkononi
Hata wakati Wana wa Israel walipokwama kwenye bahari ya sham fimbo ya Musa mkononi kwa kupitia uwezo WA Mungu ndo iliyowavusha kwa kupasua bahari
Kwaiyo hela yoyooote uliyonayo mwambie Mungu kwa elfu kumi hii naomba uondoe umaskini maishani kwangu nikawe tajiri toka nje uza hata pipi
Sitochangia tena ushauri WA biashara humu
Bye
Ndo maana matajiri kumbe huwa hawatoi code 😂😂😂
 
Kabla ujaanza kufanya biashara yoyote usikurupuke kwanza...

Jibu haya maswali au angalia majibu ya haya maswali kutoka kwa wachangiaji alafu ndo ujiulize je unaweza biashara au upo hapa kufata ushauri wa motivation speaker

Kutoka kwa Benny Haraba



1.. je unakipaji chochote
2.. je una utaalamu wowote
3. Je una wazo la biashara
4. Je una majukumu ya kila siku
5. Je ni kijana mwenye nguvu, (are you drive and energy)
6. Je umewahi kufanya biashara yoyote jadili
7. Je uko tayari kukosolewa
8. Unaweza kutunza mahesabu ya kila siku
8. Je unaweza kuwatambua wateja wako taraji
9. Je unaweza kuwatambua wapinzani wako nguvu zao na mapungufu yao, pamoja na wateja wao, hao wateja wao wanakotoka

10. Ainisha nguvu zako na mapungufu yako kwa biashara unayotaka kifanya

11. Zitaje tabia 10 za wajasiriamali waliofanikiwa
12. Je unazijua sababu kwanini biashara zinakufa, zitaje
13. Kama unajua kwamba biashara zinakufa kwanini wewe huogopi kufanya biashara
14. Je unaweza kufanya utafiti wa masoko?
15 zitaje mbinu utakazo zitumia kujua kama wazo lako la biashara linaweza likawa halisia

Baada ya kujibu maswali haya tutaendelea na mpango mwingine
Miss Natafuta
Evelyn Salt
Vishu Mtata
Tumwesige senior
Cassnzoba
Mkulu wawe
Kalaga Baho Nongwa
Pekejeng
Mzee ngalauka
hazard Don
Thecoder ***
ngara23
MAKONGOLOSII
Lamomy
Awepo na masai dada na jane msowero
 
Back
Top Bottom