Kabla ya Ijumaa jioni litatengenezwa bonge la movie ili kufunika jambo

Kabla ya Ijumaa jioni litatengenezwa bonge la movie ili kufunika jambo

Mwamuzi wa Tanzania

JF-Expert Member
Joined
Apr 7, 2020
Posts
15,486
Reaction score
45,256
Kwa uzoefu wangu nina uhakika 100% kuwa kabla watu hawajalala siku ya Ijumaa tayari movie itakuwa ishatoka.
Ni mwendo wa movie tu.
Movie hii itatolewa kufukia jambo.
Watanganyika msitolewe kwenye reli kwa aina yoyote ya movie hata kama hiyo movie itahusisha kutolewa watu uhai.
Akili yangu inaniambia niwaombee wagungwa.
 
Kabla ya ijumaa tutashuhudia ramli nyingi kama hizi zikitamalaki
 

Attachments

  • IMG-20240910-WA0005.jpg
    IMG-20240910-WA0005.jpg
    28.3 KB · Views: 4
tabiri zinakuwa nyingi sasa ila najua nchi inapita nyakati za ukuaji!
 
Kwa uzoefu wangu nina uhakika 100% kuwa kabla watu haeajalala siku ya Ijumaa tayari movie itakuwa ishatoka.
Ni mwendo wa movie tu.
Movie hii itatolewa kufukia jambo.
Watanganyika msitolewe kwenye reli kwa aina yoyote ya movie hata kama hiyo movie itahusisha kutolewa watu uhai.
Akili yangu inaniambia niwaombee wagungwa.
binadamu tumeumbiwa kusahau , ni nature
 
Kwahy umesema yule binti akatafute kazi nyingine za kufanya aache umalaya au siyo?

Ila yule binti mwamba sana, imagine wanaume wanne wamemshindwa mpaka wakaanza kumtishia kumpiga chupa na kumnyima maji 😏
 
Tafuta hela ishi maisha Yako usiingie kwenye shughuli za watu utauponza
 
Back
Top Bottom