Kabla ya Kumchagua Mwenyekiti CHADEMA Wafanye Uamuzi Huu Kwanza

Kabla ya Kumchagua Mwenyekiti CHADEMA Wafanye Uamuzi Huu Kwanza

Unawaona wanaowapigania Mbowe na Lissu? Wengi wanapigania nafasi za kugombea Ubunge, udiwani, viti maalum nk. Halafu baada ya haya yoye watakatwa watu CCM watakimbilia CHADEMA na kupokelewa kwa furaha...
Umenikumbusha Dr Mollel na Cecil Mwambe
 
Na. M. M. Mwanakijiji

Hakuna jinsi. Kinachotokea CHADEMA ni matokeo tu..

Nashauri wafanye uamuzi kuwa atakaye peperusha bendera ya mgombea wa Urais HATOKUWA Mwenyekiti wa chama na kuwa Mwenyekiti wa chama hatokuwa mgombea Urais au Ubunge. Jukumu lake liwe kwenye chama.

Wakati wa kampeni za uchaguzi atakayetangazwa kuwa mgombea wa Urais anakuwa mara moja kuwa ndiyo kiongozi mkuu wa chama hadi baada ya uchaguzi. Mgombea wa Urais kimadaraka anakuwa juu ya Mwenyekiti wa chama.

Faida za hili ni rahisi kuziona. Kubwa ni itaondoa mvutano wa madaraka. Maaana yake ni kuwa wamuombe mtu ambaye anaweza kweli kupeperusha bendera ya ugombea ili awavushe bila mtu huyo kuutaka uenyekiti wa chama.
Unatoa ushauri kwa ajili ya uchaguzi wao unaofanyika kesho kutwa au unatoa ushauri unaotaka ukaingizwe kwenye maboresho ya Katiba.
 
Kwanini sasa?

Ni kwa sababu ya Tundu Lissu tu dhidi ya Freeman Mbowe?

Kwani huyu Mbowe ana nini alichobeba cha CCM kiasi cha kuja na mapendekezo haya?

Sababu ya maswali hayo ☝🏻☝🏻ni kuona kuwa watu tuliodhania siku zote ni wapigania mageuzi na mabadiliko ya kisiasa na mfumo wa utawala wa nchi hii kina Freeman Mbowe, Ansbert Ngurumo, wewe Mzee Mwanakijiji na wengine kibao kumbe siyo kabisa...

It's obvious kuwa mapendekezo yako haya ni kwa ajili ya kutafuta kila possibility ya aidha Freeman Mbowe au mtu ambaye mfumo umemwandaa toka CCM kuja kugombea u - Rais CHADEMA ili mradi Tundu Lissu asipate kabisa fursa hiyo iwapo atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA (possibility yake mpaka sasa ni zaidi ya 80%)

Huu ni utaratibu wa wapi aisee..?

Yaani mgombea tu wa u - Rais, akipata nafasi hiyo, basi mwenyekiti aliyepo kikatiba anaacha kuwa mwenyekiti badala yake aserende uenyekiti wake kwa huyu mgombea..?

Unasema "hadi baada ya uchaguzi". Halafu baada ya hapo? Una maana akiwa ameshinda ndiyo yeye anakuwa Mwenyekiti wa chama ? Vipi huyu aliyechaguliwa kikatiba? Yeye aende wapi? Na vipi akiwa ameshindwa?

Huko mliko USA na Ulaya ndivyo wanavyoendesha vyama vyao?

Yupo Tundu Lissu...

Kamwe hawezi kuwa Freeman Mbowe....

Kamwe hawezi kuwa kapi lolote toka CCM...

CHADEMA wakirudia makosa yao ya mwaka 2015, nitawadharau na kuwafuta kabisa ktk kumbukumbu zangu...

NOTE:
1. All in all, pendekezo lako hili lina ishara zote muhimu kuwa Freeman Mbowe (anayehaha sasa kuokoa uenyekiti wake) alishaandaa mtu wake aliyepewa na Bi Samia Suluhu Hassan mwenyekiti wa CCM aje CHADEMA kugombea u - Rais..

2. Hai make sense yoyote wewe Mzee Mwanakijiji (tunayedhani unaheshimika hapa jukwaani) kuja na ushauri na pendekezo hili la ajabu kabisa..

3. We all know and understand that, mission ya haya yote ni kuhakikisha Tundu Lissu hawi mwenyekiti CHADEMA. Hili mmeshaliona kama vile linakwenda kufeli na likely kuwa limeshafeli. Na kwa kuwa uwezekano wa huyu asiyetakiwa na mfumo wa ma - CCM a.k.a "WASIOJULIKANA" kuwa kiongozi wa CHADEMA, unaelekea kufeli, umetumwa kuchokoza kwa kuleta plan C (plan A & B zote kwa mpigo ziligonga mwamba), ili kuhakikisha huyu Bwana Tundu Lissu hashindani na mama yenu a.k.a Chura Kiziwi, kwenye uchaguzi mkuu wa u - Rais mwaka huu 2025 kama utakuwepo...

Pole sana.....
Pole yako hataipokea ila umefanya vizuri kumpa kwa sababu ni hailewi anachojaribu kurekebisha. Yaani anataka chama kibadilishe mfumo na katiba yake ili tu kiweze ku-accommodate baadhi ya watu?. Ni ule ule ujinga wa CCM kugawa majimbo wanapoona kuna conflict kati ya wagombea wawili wa CCM kwenye jimbo moja. Hivi Mwanakijiji hajui kuwa genesis ya demokrasia yoyote ni ukomo wa vipindi kwenye uongozi? I mean hajui kuwa tusingetakiwa kuwa hapa kumjadili kiongozi mlafi anayetaka kuwa mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA kwenye zama hizi?
 
Raisi wa nchi madaraka yake yapo kwenye katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (ambayo aitambui katiba ya vyama vya siasa) akishaapishwa.

Raisi anatekeleza ilani ya chama

Katiba ya Tanzania inasema raisi ashitakiwi akiwa madarakani (ni sheria mama) chochote kilichopo kwenye sheria ya chama chako ni inferior.

Sana sana mwenyekiti wa chama anaweza endesha shughuli za chama tu, lakini mtu akishakuwa raisi. Chama akiwezi hata kumfanyia impeachment.

Japo raisi hatoweza kuingilia shughuli za chama chake kama katiba yao ilivyo; Iła chama chake nacho hakiwezi kum-control na yeye. Katika kipindi chake cha uraisi.

Iwapo mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi awaelewani; raisi si anakuwa anaenda kwa mtindo wake tu.

Matter of fact huo ndio utaratibu wa CDM toka 2010. Kuna sababu za msingi raisi kutambulika kama kiongozi wa chama kwa namna moja au nyingine anahitaji ushirikiano wa chama hasa kwenye nchi zenye mfumo wa unitary constitution.
Nimekupenda sana kaka kwa kuwa upo logic sana. Hongera
 
Pole yako hataipokea ila umefanya vizuri kumpa kwa sababu ni hailewi anachojaribu kurekebisha. Yaani anataka chama kibadilishe mfumo na katiba yake ili tu kiweze ku-accommodate baadhi ya watu?. Ni ule ule ujinga wa CCM kugawa majimbo wanapoona kuna conflict kati ya wagombea wawili wa CCM kwenye jimbo moja. Hivi Mwanakijiji hajui kuwa genesis ya demokrasia yoyote ni ukomo wa vipindi kwenye uongozi? I mean hajui kuwa tusingetakiwa kuwa hapa kumjadili kiongozi mlafi anayetaka kuwa mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA kwenye zama hizi?
Huyu ni Mzee Mwanakijiji Team Magufuli, Team CCM & na sitakosea kusema ni Team Samia a.k.a Chura Kiziwi wa Kizimkazi, Zanzibar..

Na yote haya ni kwa sababu tu wameona Tundu Lissu anakwenda kuuchukua uenyekiti wa CHADEMA. Na likely anakwenda kuwa mgombea u - Urais wa Tanzania kumkabili huyu Chura Kiziwi wa CCM. Hili linaumiza vichwa vya system nzima ya CCM na specific ya Chura Kiziwi..

All of these rubbish, anayetafutwa ni TUNDU LISSU asiwe na upenyo au platform yoyote ya kuja kukutana na Chura Kiziwi Bi Samia Suluhu Hassan...

They have to come with plan C. Ndiyo haya mapendekezo ya Mzee Mwanakijiji..

Plan A: ilikuwa, Tundu Lissu asipate uongozi wowote CHADEMA ukiwemo VC na ndo maana mashetani yakamleta Wenje apambane naye na wangehakikisha anashinda....... This plan failed spectacularly...!

Plan B: Ni hii inayoendelea. Samia Samia Suluhu Hassan (CCM) kumwaga pesa kuhakikisha TAL hatoboi na wakati huohuo kumsaidia FAM (rafiki na informer wa ma CCM) aendelee kuwa Mwenyekiti CHADEMA. Order imetolewa kuundwa kwa kikosi kazi maalumu kikihusisha TISS, Polisi na UVCCM kuhakikisha FAM anatoboa. This plan is almost failing also...!!

They have to come with Plan C. Ndiyo hii ya Mzee Mwanakijiji...

Ukicheki vibaya unaweza kudhani ni maoni ya mwana JF kama tulivyo wengine sisi...

Lakinj soma kila alichoandika between the lines. Ni kwamba, hai make sense kabisa...

Huko CCM mambo ni magumu mno. Kama mpaka makamu Mwenyekiti wao (CCM) Mzee Steven Wassira anajitoa ufahamu na kumpigia kampeni Freeman Mbowe katikati ya wajumbe wa mkutano mkuu wa CCM huko Dodoma, ujue tu how things are difficult & complicated...

Haya mapendekezo ya Mzee Mwanakijiji, kwamba katikati ya uchaguzi ghafla bin vuu, anamshauri Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe ambaye ni mgombea/mshindani wa TL eti aje na hoja ya mabadiliko ya kikatiba yenye taathira iliyo wazi kabisa ya ku - accommodate personal interests na za mabwana zake huko CCM, unadhani inaashiria nini...!!???

No way. Haitakuwa hivyo at least kwa sasa....
 
Chadema wamejenga utaratibu wa fisi.

Yaani wanasubiria mkono wa CCM udondoke.

Wale wasioridhika na mchakato CCM huwa wanawabeba.
Huu ujinga ulifanyika uchaguzi wa 2020 na kumpokea yule mzee tapeli wa kisiasa. Kosa lile halikurudiwa 2020, na halitokaa lirudiwe tena. Wahuni wa ccm wakikosa nafasi huko kwao, waende vyama vingine wakaingize utopolo wao. Kwa sasa cdm wanagusa na kuachia.
 
Back
Top Bottom