Chief Mwigendya
Senior Member
- Nov 28, 2024
- 172
- 136
Hela za wafadhili zinamuuma sana kwenda mifukoni mwa wengine.Tatizo Mbowe hafai kote, sio kugombea urais sio umwenyekiti wa chama....hana mvuto tena amechakaa lakini anang'ang'ania madaraka.
Shida ndo iko hapo!
Umenikumbusha Dr Mollel na Cecil MwambeUnawaona wanaowapigania Mbowe na Lissu? Wengi wanapigania nafasi za kugombea Ubunge, udiwani, viti maalum nk. Halafu baada ya haya yoye watakatwa watu CCM watakimbilia CHADEMA na kupokelewa kwa furaha...
Unatoa ushauri kwa ajili ya uchaguzi wao unaofanyika kesho kutwa au unatoa ushauri unaotaka ukaingizwe kwenye maboresho ya Katiba.Na. M. M. Mwanakijiji
Hakuna jinsi. Kinachotokea CHADEMA ni matokeo tu..
Nashauri wafanye uamuzi kuwa atakaye peperusha bendera ya mgombea wa Urais HATOKUWA Mwenyekiti wa chama na kuwa Mwenyekiti wa chama hatokuwa mgombea Urais au Ubunge. Jukumu lake liwe kwenye chama.
Wakati wa kampeni za uchaguzi atakayetangazwa kuwa mgombea wa Urais anakuwa mara moja kuwa ndiyo kiongozi mkuu wa chama hadi baada ya uchaguzi. Mgombea wa Urais kimadaraka anakuwa juu ya Mwenyekiti wa chama.
Faida za hili ni rahisi kuziona. Kubwa ni itaondoa mvutano wa madaraka. Maaana yake ni kuwa wamuombe mtu ambaye anaweza kweli kupeperusha bendera ya ugombea ili awavushe bila mtu huyo kuutaka uenyekiti wa chama.
Pole yako hataipokea ila umefanya vizuri kumpa kwa sababu ni hailewi anachojaribu kurekebisha. Yaani anataka chama kibadilishe mfumo na katiba yake ili tu kiweze ku-accommodate baadhi ya watu?. Ni ule ule ujinga wa CCM kugawa majimbo wanapoona kuna conflict kati ya wagombea wawili wa CCM kwenye jimbo moja. Hivi Mwanakijiji hajui kuwa genesis ya demokrasia yoyote ni ukomo wa vipindi kwenye uongozi? I mean hajui kuwa tusingetakiwa kuwa hapa kumjadili kiongozi mlafi anayetaka kuwa mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA kwenye zama hizi?Kwanini sasa?
Ni kwa sababu ya Tundu Lissu tu dhidi ya Freeman Mbowe?
Kwani huyu Mbowe ana nini alichobeba cha CCM kiasi cha kuja na mapendekezo haya?
Sababu ya maswali hayo ☝🏻☝🏻ni kuona kuwa watu tuliodhania siku zote ni wapigania mageuzi na mabadiliko ya kisiasa na mfumo wa utawala wa nchi hii kina Freeman Mbowe, Ansbert Ngurumo, wewe Mzee Mwanakijiji na wengine kibao kumbe siyo kabisa...
It's obvious kuwa mapendekezo yako haya ni kwa ajili ya kutafuta kila possibility ya aidha Freeman Mbowe au mtu ambaye mfumo umemwandaa toka CCM kuja kugombea u - Rais CHADEMA ili mradi Tundu Lissu asipate kabisa fursa hiyo iwapo atakuwa mwenyekiti wa CHADEMA (possibility yake mpaka sasa ni zaidi ya 80%)
Huu ni utaratibu wa wapi aisee..?
Yaani mgombea tu wa u - Rais, akipata nafasi hiyo, basi mwenyekiti aliyepo kikatiba anaacha kuwa mwenyekiti badala yake aserende uenyekiti wake kwa huyu mgombea..?
Unasema "hadi baada ya uchaguzi". Halafu baada ya hapo? Una maana akiwa ameshinda ndiyo yeye anakuwa Mwenyekiti wa chama ? Vipi huyu aliyechaguliwa kikatiba? Yeye aende wapi? Na vipi akiwa ameshindwa?
Huko mliko USA na Ulaya ndivyo wanavyoendesha vyama vyao?
Yupo Tundu Lissu...
Kamwe hawezi kuwa Freeman Mbowe....
Kamwe hawezi kuwa kapi lolote toka CCM...
CHADEMA wakirudia makosa yao ya mwaka 2015, nitawadharau na kuwafuta kabisa ktk kumbukumbu zangu...
NOTE:
1. All in all, pendekezo lako hili lina ishara zote muhimu kuwa Freeman Mbowe (anayehaha sasa kuokoa uenyekiti wake) alishaandaa mtu wake aliyepewa na Bi Samia Suluhu Hassan mwenyekiti wa CCM aje CHADEMA kugombea u - Rais..
2. Hai make sense yoyote wewe Mzee Mwanakijiji (tunayedhani unaheshimika hapa jukwaani) kuja na ushauri na pendekezo hili la ajabu kabisa..
3. We all know and understand that, mission ya haya yote ni kuhakikisha Tundu Lissu hawi mwenyekiti CHADEMA. Hili mmeshaliona kama vile linakwenda kufeli na likely kuwa limeshafeli. Na kwa kuwa uwezekano wa huyu asiyetakiwa na mfumo wa ma - CCM a.k.a "WASIOJULIKANA" kuwa kiongozi wa CHADEMA, unaelekea kufeli, umetumwa kuchokoza kwa kuleta plan C (plan A & B zote kwa mpigo ziligonga mwamba), ili kuhakikisha huyu Bwana Tundu Lissu hashindani na mama yenu a.k.a Chura Kiziwi, kwenye uchaguzi mkuu wa u - Rais mwaka huu 2025 kama utakuwepo...
Pole sana.....
Nimekupenda sana kaka kwa kuwa upo logic sana. HongeraRaisi wa nchi madaraka yake yapo kwenye katiba ya Jamuhuri ya muungano wa Tanzania (ambayo aitambui katiba ya vyama vya siasa) akishaapishwa.
Raisi anatekeleza ilani ya chama
Katiba ya Tanzania inasema raisi ashitakiwi akiwa madarakani (ni sheria mama) chochote kilichopo kwenye sheria ya chama chako ni inferior.
Sana sana mwenyekiti wa chama anaweza endesha shughuli za chama tu, lakini mtu akishakuwa raisi. Chama akiwezi hata kumfanyia impeachment.
Japo raisi hatoweza kuingilia shughuli za chama chake kama katiba yao ilivyo; Iła chama chake nacho hakiwezi kum-control na yeye. Katika kipindi chake cha uraisi.
Iwapo mwenyekiti wa chama na raisi wa nchi awaelewani; raisi si anakuwa anaenda kwa mtindo wake tu.
Matter of fact huo ndio utaratibu wa CDM toka 2010. Kuna sababu za msingi raisi kutambulika kama kiongozi wa chama kwa namna moja au nyingine anahitaji ushirikiano wa chama hasa kwenye nchi zenye mfumo wa unitary constitution.
Huyu ni Mzee Mwanakijiji Team Magufuli, Team CCM & na sitakosea kusema ni Team Samia a.k.a Chura Kiziwi wa Kizimkazi, Zanzibar..Pole yako hataipokea ila umefanya vizuri kumpa kwa sababu ni hailewi anachojaribu kurekebisha. Yaani anataka chama kibadilishe mfumo na katiba yake ili tu kiweze ku-accommodate baadhi ya watu?. Ni ule ule ujinga wa CCM kugawa majimbo wanapoona kuna conflict kati ya wagombea wawili wa CCM kwenye jimbo moja. Hivi Mwanakijiji hajui kuwa genesis ya demokrasia yoyote ni ukomo wa vipindi kwenye uongozi? I mean hajui kuwa tusingetakiwa kuwa hapa kumjadili kiongozi mlafi anayetaka kuwa mwenyekiti wa maisha wa CHADEMA kwenye zama hizi?
Huu ujinga ulifanyika uchaguzi wa 2020 na kumpokea yule mzee tapeli wa kisiasa. Kosa lile halikurudiwa 2020, na halitokaa lirudiwe tena. Wahuni wa ccm wakikosa nafasi huko kwao, waende vyama vingine wakaingize utopolo wao. Kwa sasa cdm wanagusa na kuachia.Chadema wamejenga utaratibu wa fisi.
Yaani wanasubiria mkono wa CCM udondoke.
Wale wasioridhika na mchakato CCM huwa wanawabeba.
Hiyo ni kabla ya lisu kuwa chairmanChadema wamejenga utaratibu wa fisi.
Yaani wanasubiria mkono wa CCM udondoke.
Wale wasioridhika na mchakato CCM huwa wanawabeba.