Kabla ya kuoa/kuolewa zingatia haya

Kabla ya kuoa/kuolewa zingatia haya

Maisha hayana formula, hakuna age ya kuoa, unaoa ukiwa tayari, wengine na 30,s wengine na 40,s. Dini pia sio tatizo kubwa , mradi heshima na wote waelewa, (wazazi wangu ni dini tofauti, wako zaidi ya miaka 60 pamoja). Kisomo unaweza tafuta msomi, msaidiane, hataki kufanya kazi. Maelewano na kuheshimiana ni jambo la msingi.
 
Umri:
Mwanamke age ya kuolewa awe 26 and above na nzuri zaidi kama kashaanza kujitegemea.

Mwanaume any age as long as ana kipato thabiti cha kulea familia.

Background:
Familia isiokuwa na washirikina ama kupenda mambo ya shirki. Ikiwa familia ya wasomi itapendeza maana inapunguza sana uwezekano wa kuwa na watoto wajinga.

Characteristics:
Wote msiwe na chembe ya ubinafsi, hii itasaidia sana kuharakisha maendeleo na spirit ya kusaidiana kupush maisha. Ubinafsi huzaa choyo, choyo huzaa chuki na mwisho chuki hupelekea roho ya kichawi.
Chungeni sana hilo.

Jingine muhimu ni uaminifu tu na automatically mtu asie mbinafsi huwa anakuwaga mwaminifu tu kwa mwenza wake.

Magonjwa:
Asiwe na magongjwa ya ajabu kama ya zinaa ngoma and the like. Awe sexually fit kuna watu wako unfit ni muhimu kujua. Wanawake ambao uchi mkavu always hawawez shiriki tendo kwa uhuru. Wanaume ambao wana sexual problems kama erectile disyfunction. Magonjwa ya kurithi hayakwepeki ila nzuri ukijua historia ya magonjwa kama pumu, presha nk
 
Maisha hayana formula, hakuna age ya kuoa, unaoa ukiwa tayari, wengine na 30,s wengine na 40,s. Dini pia sio tatizo kubwa , mradi heshima na wote waelewa,( wazazi wangu ni dini tofauti, wako zaidi ya miaka 60 pamoja). Kisomo unaweza tafuta msomi, msaidiane, hataki kufanya kazi. Maelewano na kuheshimiana ni jambo la msingi.
Wengi wanadharau kipengele hiki cha kiimani katika ndoa lakini ni cha muhimu sana nakazia oa/olewa na mtu wa imani sawa na yako,kama kuna watu wanaishi kwenye ndoa kwa amani muda mrefu na Imani tofauti hawa hawana misimamo kwenye Imani(hawamaanishi kwenye Imani zao)
 
Ubinafsi hatari sana Kwa ndoa na ukoo ,umoja ni nguvu utengano ni udhaifu,hapa na maainisha ndoa na ukoo Kwa ujumla wawe na utamaduni wa kuweka akiba au mfuko wa ukoo Ili kipunguza matatizo yanayojitokeza kama vile kuumwa,ada,na majanga mbalimbali.hii inatakiwa ifanyike Kwa Kila familia Ili kutoa kiasinflqni Cha fedha Ili kulinda mfuko Kwa maitaji ya baadae.
 
Habari wakuu

Zingatia haya kabla ya kuoa/kuolewa kwa mwenza wako

A-age
Umri = miaka “ zingatia mwenza wako ana umri wa miaka mingapi ni muhimu sana kujua umri sahihi wa mwenza wako na wako pia kabla
Some time kuna msemo ka hi:
Ndoa aina formular.
Ndoa ni bahati nasibu
Ndoa ni majalia ya Mungu
Ndoa ni kujilipua tu
Ndoa ni mateso
Wote ni sahihi kwa wakati wao na vilio wakuta katika tasinia ya ndoa, ndoa haifundishwi kwasbb binaadamu tuko tofauti kwa kila jambo usiige mtu.
 
Wengi wanadharau kipengele hiki cha kiimani katika ndoa lakini ni cha muhimu sana nakazia oa/olewa na mtu wa imani sawa na yako,kama kuna watu wanaishi kwenye ndoa kwa amani muda mrefu na Imani tofauti hawa hawana misimamo kwenye Imani(hawamaanishi kwenye Imani zao)
Sio kweli, mama anaenda kanisani, na baba ni muislam kabisa, heshima tuu na mapendo
 
Back
Top Bottom