Michael Chairman
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 922
- 586
Watanzania wengi kwa sasa wametambua na kuona fursa nyingi ikiwemo fursa ya mikopo kama sehemu kubwa ya wao nao kujikwamua kiuchumi ni jambo jema sana kuwa na macho ya fursa kwa ulimwengu huu wa habari.
Naomba nitumie mda huu nami kukushirikisha mawazo huru juu ya mikopo fuatana nami. Kabla ya kuwaza kukopa kwanza unashauriwa kufikiri haya kwanza;
1. Epuka kuchukua mkopo kwa sababu unapatikana, chukua mkopo kwa ajili ya Biashara tu.
2. Pesa ya mkopo si yako.
3. Chukua mkopo kwa kiwango cha Biashara yako tu na si vinginevyo.
4. Usitumie pesa ya mkopo kwa matumizi ya kawaida kama kununua sofa, Tv, kutoka out, kumpa mtu kama zawadi.
5. Kama una nguvu ya fedha zako tumia zako kwanza.
6. Mgawanyo wa kiasi cha asilimia ya Biashara kwenye pesa ya mkopo ni 60% kiasi chako cha fedha na 40% ni fedha ya mkopo.
Kama na wewe una nyingine kanuni ongezea hapa ili tujikomboe watanzania.
Naomba nitumie mda huu nami kukushirikisha mawazo huru juu ya mikopo fuatana nami. Kabla ya kuwaza kukopa kwanza unashauriwa kufikiri haya kwanza;
1. Epuka kuchukua mkopo kwa sababu unapatikana, chukua mkopo kwa ajili ya Biashara tu.
2. Pesa ya mkopo si yako.
3. Chukua mkopo kwa kiwango cha Biashara yako tu na si vinginevyo.
4. Usitumie pesa ya mkopo kwa matumizi ya kawaida kama kununua sofa, Tv, kutoka out, kumpa mtu kama zawadi.
5. Kama una nguvu ya fedha zako tumia zako kwanza.
6. Mgawanyo wa kiasi cha asilimia ya Biashara kwenye pesa ya mkopo ni 60% kiasi chako cha fedha na 40% ni fedha ya mkopo.
Kama na wewe una nyingine kanuni ongezea hapa ili tujikomboe watanzania.