Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Young Africans Mzee Ni Mzize Tu Tena Ndio Ana Miaka 22Hiko hiko watakutana na wazee wenzao wa utopoloni..
Kwenda Zako WeweMzimu wa mamelodi unawatesa badoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeee
Majanga tena!!!Nimeona bodi ya ligi imetoa ratiba ya mechi ya watani wa jadi kuwa itapigwa trh 20 mwezi huu!
Ningependa nijue na kutunza pia risiti wale wachambuzi na mashabiki wa Simba watueleze vizuri Kama Kuna Mamelod nyingine hapa Tanzania ambayo itamsimamisha yanga asipate jambo lake kwa muda muafaka!!
Ni vizuri pia tuelezane mapema Kama Mamelod alikuwa mbovu basi Mamelod ya TZ iliyo Bora itakuja kuonyesha ubovu wa Mamelod ya south Africa!
N;B Safu imara ya ulinzi itakupa makombe na Safu nzuri ya ushambuliaji itakufanya ushinde mechi (akili kumkichwa)
Unasema? Ongeza sauti mi kiziwiMazuzu fc siku hyo mtapasuka kabisa afe kipa afe beki...
Weee sema kweli kokaMzimu wa mamelodi unawatesa badoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeee