Kabla ya mechi ya Simba na Yanga trh 20 tunaomba wachambuzi na mashabiki wa Simba watuambie kuna Mamelod nyingine Tz ama ni moja tu ya South Africa?

Mzimu wa mamelodi unawatesa badoo? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Poleeee
 
Majanga tena!!!
 
Hiyo mechi Simba watafute sababu yoyote ile wajitoe.
Wawaachie point tatu zao.

Hao akiba Chapombe wamechoka vibaya sana.
Eti mshambuliaji namba 9 ni Freddi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…